Wananchi wa Kawe walia na upinzani

Wananchi wa Kawe walia na upinzani

walidhani mtu akiwa anaongea kwa kilele anafaa kuwa mbunge kumbe ni garasa poleni watu wa kawe lakini uchaguzi unakuja mtajua cha kufanya.
 
Halima mdee sawa na mzingo wa kuni kawe katibu wa Saccos yako.analijua hilo ndo maana anataka kumleta mchumba wake wa kihaya

wewe ni kilaza sawa na waliokutuma,mbona haujwauliza mabwana zako hao wa ccm kwamba kwani kawe imekuwepo jana
hilo jimbo lipo miaka mingi tena chini ya ccm mbona hamkuwahi kuparekebisha? ccm ni majanga
 
Hoja kama hoja haina tatizo tatizo ni jinsi ambavyo umeiwakilisha kiushabiki sana
 
Watu makini tunajua mtu ukimuona anamtajataja sana anayezaniwa kuwa ni adui yake ujue anampenda!,Kwani nakumbuka mzee wangu ktk harakati za kunijenga kiimani siku moja aliniambia "MWANANGU USIMKUMBUKE NA KUMTAJA SANA SHETANI ZAIDI YA UNAVYOMKUMBUKA NA KUMTAJA MUNGU WAKO" Hii alinifafanulia kwamba atakayezidi kukukumbukwa na kutajwa sana kati ya hao wawili ndio atakayeonekana UNAMUABUDU.
Na hii inanitiashaka juu ya hawa wanaofahamika buku 7 group au maarufu vijana wa Lumumba! Ukiwafuatilia sana utagundua nikweli wamebahatika kuwa ni wengi na kadri siku zinavyoongezeka na wao wanaongezeka niwapongeze kwa hilo,Jf ni kiboko bhana asikuambie mtu! Watu wameachishwa kazi zinazoendana na taaluma zao na kununuliwa simu na laptop kisha kufungiwa ndani wapambane na GT hahahaaaaaa! Jf imewapa watu ajira mpya.Lkn chakushangaza kati ya mada 10 zinazoanzishwa kwa kila kijana mmoja wa lumumba utagundua 9 zote zinaizungumzia CDM pekee! Na 1 inazungumzia CCM na CDM.Yani CDM wanaitaja sana na wanajikuta wakishiriki kuipaisha bila wao wenyewe kujua,Inawezekana wakawa wanalipwa na CCM lkn wanatumwa au wanajituma wenyewe kuifanyia kazi na CDM maana siunajua kipenda roho!.WAMEKUJA NA PETROL KUJA KUZIMA MOTO WA CDM.
 
Kama Kawe ya Litta ilikuwa bora hayo matatizo unayoyasema ya metoka wapi?.Si yalimalizwa na Litta ndiyo maana Kawe yake ikawa bora kuliko ya Halima au ni kinyume chake kuwa Kawe ya Litta ilikuwa bora kawe na ya Halima ndiyo Kawe bnra.
 
Wakazi wa Kawe wamejikuta katika wakati mgumu na kujuta kwa maamuzi waliyo yafanya mwaka 2010 katika uchaguzi mkuu. Kwa kilio chao kilianza hapo kwa kuwa walimuweka mmoja wa wamiliki wa saccoss maarufu nchini Tanzania, Halima James Mdee.

Waswahili walisema uwezi kupima kina cha maji kwa kutazama kwa kuwa wakazi wa Kawe walilisahau hilo leo wanajuta kwa nn walifanya maamuzi ya kipumbavu kiasi kile kwani wamekuwa kama chief magongoo. Leo hii Kawe ya Rita Mlaki ni bora kuliko Kawe ya Halima.

Kwanza yale yote ambayo amewahaidi hakuna hata moja ambalo ametimiza, watu wanaishi katika maisha ya tabu kwani hata mazingira ya Kawe ni utata mtupu.

Ushauri wangu kwa wakazi wa Kawe kuwa ukiona mtu ambaye anampinga hata Mungu wake ambaye amemuumba basi ujue kuwa mtu huyo ana matatizo ndani ya kichwa chake hivyo mlifanya dhambi kubwa sana ndugu zangu wa Kawe.

Ebu cheki hayo mazingira
Ni kweli kabisa, mama Mdee ametuchusha.
Ni heri arudi huko makao makuu CHADEMA akipigie chapuo chama chake badala ya kurudisha nyuma maendeleo ya Kawe.
Mdee ni mwanaharakati na si mwana maendeleo.
Mwenye kupinga ukweli huo alete ushahidi wa yeye kusimamia mradi wowote kwa mafanikio.
 
Ok njaa kwa binadamu ni kawaida na kuhusu suala la njaa ndio lilolomfanya Mbowe aende Ikulu. Pia njaa ndo iliyomfanya dr slaa kujiunga na Saccos japo chama cha siasa anakijua

Hon. Dr. Kawambwa's 2012/2013 form four product
 
watu wengine bangi mbaya
unataka mbunge aje akusafishie mtaa wako?
maafisa afya wa mitaa na kata hawapo?
Fedha za kusafisha mtaa mbunge atatoa wapi? je kodi mnazolipa kwa halmashauri zinafanya kazi gani?
Wewe umeshachukua fagio na jembe kusafisha?
kama kazi ya mbunge ndio hiyo unayotufikirisha hapa
je mkuu wa wilaya, mkurugenzi katibu tawala,na wengineo wana kazi gani
kwa akili kama hizi wala hatuwezi kuendelea..
ingia darasani ndugu endeleza elimu ulio nayo ambayo ulidesa
 
buku 7 za lumumba taaabu kweli,pole sana
 
Mlombo jina lako linasadifu akili zako ama kweli ww ni bonge la mlombo yani tahaira, Kajipange urudi tena na mada yako isiyo na mawanda.
 
Hivi Meya wa Manispaa Kinondoni ni wa chama cha upinzani?

Hivi kazi za kufanya usafi wa jiji ni za mbunge au Manispaa?
 
mkiambiwa ukweli mnabinukabinuka tu..hapo lingekuwa jimbo la ccm hadi matusi mngetoa...masabuli ninyi
 
Mkuu ulichosema ni kweli tupu japo wana kawe wanajutia maamuzi yakumchagua mdee lakini nifafanulie hapo uliposema amemkana hata Mungu wake au ndo mambo yaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Ushaanza kuweweseka wewe Mwache kamanda Mdee apige kazi kwa uhuru

Mama acha kubishana na watu huku jf wewe subili 2015 utakapokuwa first lady ila utagombea jimbo la Mdee kwa kiti cha mwanamke maana mdogo wako ni mwanaume hivyo mtasimama wote usijali mama chamsingi tuombe katiba mpya ipitishe jimbo moja wagombea wawili kila chama
Naendelea vizuri na ziara yangu huku barani ulaya tupo katika makubaliano ya mwisho na Cameroon hivyo mwambie mdogo wako Mdee asijali .
 
Back
Top Bottom