Wananchi wa Kawe walia na upinzani

Wananchi wa Kawe walia na upinzani

Mleta thread wewe una matatizo, nenda kwenye majimbo yanayoongozwa na CCM ndo utajua. Alipokuja Obama last week mbona mlikimbizana kudeki barabara???
 
Nashukuru kwa kujua mawazo yakk kwani hata wenye mawazo mgando pia wana haki ya kutoa mawazo yao. Ebu nitajie kitu gani ambacho mdee amefanya unajivunia nacho?

Hata kujitawaza baada ya kotoka chooni unataka Mh. Mdee aje akutawaze.....!!! Ewe mwana mtoka kuzimu nani kakuloga...
 
Mtoa mada alitegemea Mbunge Mdee awe anagawa; Kofia, Kanga, Chumvi, Gongo na Mataputapu kama wanavyofanya Magamba wakati wa uchaguzi kwa imani kwamba wananchi ni mazezeta watagawana Sh. 5000/= familia nzima kwa miaka mitano! Watu sasa wanafahamu tofauti kati ya Unga na Bange, unapoteza muda kuchafua wachapakazi Kinyamkera wangu! Kwaheri!
 
nina matatizo nahitaji msaada, yaani nikisikia neno CCM, natamani bora hata nikutane na gogo la mtu mzima nitavumilia.
 
Kawe ni moja ya maeneo yaliyofanywa squatters toka zama za Adamjee na hakukuwa na mipango madhubuti ya kudhibiti hilo. Lakini kuendelea kutegemea wabunge awe wa chama tawala au upinzani ili kutufanyia usafi wa mazingira yanayotuzunguka ni kuendelea kuonyesha uduni wa mawazo na ufinyu wetu wa fikra na pia anayewaza hayo ni fukara wa fikra wa kutupwa.
 
Hapa ni Buguruni.....sijui nako ni jimbo la CHADEMA?

images

maccm acheni ushenzi, hivi kila kitu anafanya mbunge tu ? Hivi Temeke, Ilala, Kinondoni , Morogoro Mjini ziko chini ya Chadema ?
Mbona zimejaa uchafu ?
Acha siasa za rejareja
 
maccm acheni ushenzi, hivi kila kitu anafanya mbunge tu ? Hivi Temeke, Ilala, Kinondoni , Morogoro Mjini ziko chini ya Chadema ?
Mbona zimejaa uchafu ?
Acha siasa za rejareja

Mimi tena?........au umenifananisha mkuu
 
Wakazi wa Kawe wamejikuta katika wakati mgumu na kujuta kwa maamuzi waliyo yafanya mwaka 2010 katika uchaguzi mkuu. Kwa kilio chao kilianza hapo kwa kuwa walimuweka mmoja wa wamiliki wa saccoss maarufu nchini Tanzania, Halima James Mdee.

Waswahili walisema uwezi kupima kina cha maji kwa kutazama kwa kuwa wakazi wa Kawe walilisahau hilo leo wanajuta kwa nn walifanya maamuzi ya kipumbavu kiasi kile kwani wamekuwa kama chief magongoo. Leo hii Kawe ya Rita Mlaki ni bora kuliko Kawe ya Halima.

Kwanza yale yote ambayo amewahaidi hakuna hata moja ambalo ametimiza, watu wanaishi katika maisha ya tabu kwani hata mazingira ya Kawe ni utata mtupu.

Ushauri wangu kwa wakazi wa Kawe kuwa ukiona mtu ambaye anampinga hata Mungu wake ambaye amemuumba basi ujue kuwa mtu huyo ana matatizo ndani ya kichwa chake hivyo mlifanya dhambi kubwa sana ndugu zangu wa Kawe.

Ebu cheki hayo mazingira

sidhani kama hiyo dhambi itakuwa kubwa kuliko ile waTz waliofanya kumpeleka jk aka mtalii aka fastjet magogoni
 
mmm,kumbe kufanya usafi pia ni kazi ya mbunge,nilijua ni msimamizi wa haki ya wananchi.

Pia kama kufanya usafi ni kazi ya mbunge ashafika k.koo, posta, tandale na shm nyingine kibao aone hali ya hizo shm alafu atuambie kama ziko kawe ama zinaongozwa na upinzani?
 
walidhani mtu akiwa anaongea kwa kilele anafaa kuwa mbunge kumbe ni garasa poleni watu wa kawe lakini uchaguzi unakuja mtajua cha kufanya.

Ni kweli mkuu yaani Mbatia ndo anaonekana kama mbunge wa kawe mdee amebaki kuvuta ile wanaiita..... na kukiuka agizo la Mungu kuhusu jinsia
 
Halima mdee sawa na mzingo wa kuni kawe katibu wa Saccos yako.analijua hilo ndo maana anataka kumleta mchumba wake wa kihaya

Rudi shule mdogo wangu,tamaa zitakuponza hizi
 
hi mijitu mingine inatoka wapi,eti wamechagua wrong person huoni anavyowakosesha usingizi mafisadi kama wewe hujatumwa na shoza,,wewe ni fisadi unaweweseka...hatudanganyiki sisi tunampenda tu atawale..gamba we.
 
Ndg yangu eb nenda kwenye majimbo yanayoongozwa na ccm ucheki jinsi hali ilivyo mbaya...
 
Halima mdee sawa na mzingo wa kuni kawe katibu wa Saccos yako.analijua hilo ndo maana anataka kumleta mchumba wake wa kihaya

Sasa hayo ya saccos na mchumba vinaingiliana vipi?
halafu mara les hayo yote ya nini? unaugovi naye? usafi sio wa mbunge pekee na wananchi nao? na hizo halmashauri? waacheni watu wafanye kazi.
 
Mleta mada ukome kabisa,mwache mke wangu mdee apige kazi na 2015 lazima apite kwa kishindo
 
Back
Top Bottom