Wananchi Mkoani Kagera wanavyonufaika na uwepo wa wadudu aina senene

Wananchi Mkoani Kagera wanavyonufaika na uwepo wa wadudu aina senene

Mathias Byabato

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
1,043
Reaction score
759
Idadi kubwa ya wakazi kutoka maeneo mbali mbali ya mkoa wa kagera wamekiri kupata fursa kubwa ya kipato kutokana na kufanya biashara ya wadudu aina ya senene.
Wakizungumza katika mahojiano maalum na Kcr fm wakazi hao akiwemo Mektrida Leonard wamesema katika msimu wa senene wamekua wakipata kipato kinachowawezesha kujikimu na kupata mahitaji yao pamoja na kulipa ada za watoto shuleni.
…..sauti za wakazi wa kagera….

chanzo:


 
Kagera, senene si wadudu tu, ni protein ya kuaminika, ajira ya haraka. Unakula, unauza, unajenga future,, all from a flying insect!
 
Kagera, senene si wadudu tu, ni protein ya kuaminika, ajira ya haraka. Unakula, unauza, unajenga future,, all from a flying insect!
Gunia la senene zilizo tolewa manyoa ni 1.5m ukiifikisha mji wa kampala, au Masaska nchini Uganda, gunia la mahindi ni 65000, gunia la dagaa 80,000 ngunia ya mchele ni 250,000 wewe hutumie akili kwasmba senene ni biashara kubwa kuliko mazao mengine.
 
Gunia la senene zilizo tolewa manyoa ni 1.5m ukiifikisha mji wa kamapala, gunia la mahindi ni 65000, gunia la dagaa 80,000 ngunia ya mchele ni 250,000 wewe hutumie akili kwasmba senene ni biashara kubwa kuliko mazao mengine.
Sijakuelewa, umeandika kupinga nilichoandika au ume support?
 
Gunia la senene zilizo tolewa manyoa ni 1.5m ukiifikisha mji wa kampala, au Masaska nchini Uganda, gunia la mahindi ni 65000, gunia la dagaa 80,000 ngunia ya mchele ni 250,000 wewe hutumie akili kwasmba senene ni biashara kubwa kuliko mazao mengine.
but not sustainable.
Huwez kuiwekea mipango kama chanzo cha mapato mana hutawafuga.
Inazidiwa manna waliyokula jangwan waisrael.
 
Gunia la senene zilizo tolewa manyoa ni 1.5m ukiifikisha mji wa kampala, au Masaska nchini Uganda, gunia la mahindi ni 65000, gunia la dagaa 80,000 ngunia ya mchele ni 250,000 wewe hutumie akili kwasmba senene ni biashara kubwa kuliko mazao mengine.
Sasa mpk ujaze hilo gunia ni rahisi?
 
Idadi kubwa ya wakazi kutoka maeneo mbali mbali ya mkoa wa kagera wamekiri kupata fursa kubwa ya kipato kutokana na kufanya biashara ya wadudu aina ya senene.
Wakizungumza katika mahojiano maalum na Kcr fm wakazi hao akiwemo Mektrida Leonard wamesema katika msimu wa senene wamekua wakipata kipato kinachowawezesha kujikimu na kupata mahitaji yao pamoja na kulipa ada za watoto shuleni.
…..sauti za wakazi wa kagera….

chanzo:


Sikuizi Wanauza Bei juu Sana Sanaa hapo hapo bukoba.sio kama miaka ilee tunasafir na meli KABLA ya kuanza safari za ma Basi..

By the way 😁 ni watamu Sanaa Sanaa nimekumbuka kashai, Rwamishenye enzi izo nipo IHUNGO ndio nilaanzaga kula PARACHICHI na SENENE.

Cc. Monetary doctor , secretarybird
 
Back
Top Bottom