Migomo hii si kwa faida ya wafanya biashara tuu ila bali ni kwa wananchi kwasababu jiulize mfanya biashara anamuuzia nani kama sio mwananchi, that means kila kitu kitapanda bei ujenzi, uvaaji, vipodozi, simu vyote vitakuwa juu, wananchi amke jamani open your eyes and see, kila kitu kinapanda mnakaa kimya maisha yatakuwa magumu wa hali ya chini tutazidi kudidimizwa wake up Tanzania together we can