Wananchi 34 wabomolewa nyumba zao kabla ya fidia KIA, utaratibu gani huu?

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,512
8,152
Huko KIA wananchi 34 wamebomolewa nyumba zao huku fidia ikiwa haijalipwa kwa madai taratibu za kibenki hazijakamilika. Mkuu wa mkoa anadai pia ni 'huruma ya mama' wao kulipwa fidia kwasababu ni wavamizi eneo hio!

Kama waliamua kuwalipa kupitia kodi zetu, kwanini wasingewalipa ndio wabomoe?
 
Huko KIA wananchi 34 wamebomolewa nyumba zao huku fidia ikiwa haijalipwa kwa madai taratibu za kibenki hazijakamilika. Mkuu wa mkoa anadai pia ni 'huruma ya mama' wao kulipwa fidia kwasababu ni wavamizi eneo hio!

Kama waliamua kuwalipa kupitia kodi zetu, kwanini wasingewalipa ndio wabomoe?
Uongo huo.
 
Huko KIA wananchi 34 wamebomolewa nyumba zao huku fidia ikiwa haijalipwa kwa madai taratibu za kibenki hazijakamilika. Mkuu wa mkoa anadai pia ni 'huruma ya mama' wao kulipwa fidia kwasababu ni wavamizi eneo hio!

Kama waliamua kuwalipa kupitia kodi zetu, kwanini wasingewalipa ndio wabomoe?
Umeshaambiwa ni huruma ya serikali tu that's why watalipwa. Hayo si madai ni hisani, hisani hutakiwi kuipigia kelele.
Jiwe, hayawani, mwehu kabomoa maelfu ya nyumba za watu kupisha ujenzi wa barabara ya Kimara, Pugu barabara ya reli n.k hata Senti hawajalipwa zaidi ya kupigwa mateke na maafande
 
Back
Top Bottom