ID Fake
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 503
- 760
sawa kabisa mhenga mwenzangu
sawa kabisa mhenga mwenzangu
Hiyo Bangi ndio ile ma pawa wa zamani walikuwa wanajifunga kiunoni kisha wanaivuta, halafu Land Rover 109 inatembea Bila dereva?
Hahahah mkuu huyo bwana namkumbuka sàna alipita kibwabwa primary schooĺ enz hzooMasia mote huyu jamaa kaishia wapi?
Mwingine alikuwa akiitwa kababayeee,, alikuwa akisema,”” kababaa yeee,, tunasema yeee,, au anaimba,,” kababaa nisogee sogee,,tunajibu “” Songea “”” hahahah ilikuwa raha sana,,, na masiya moteee semaaaaaa,,,tunaitikia “”” masiya moteeeee ‘’ day!! Natamani kurudia yale maisha,, hela ilikuwa na thamani maana kiingilio ilikuwa sh 20,, sisi arusha kulikuwa na sukari guru na kitu ingine inaitwa ngubiti,inatengenezwa na sukari guru,,dah long aisee