Heci
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 3,483
- 5,814
Toto la sentaMi nlikua nna maringi ya baiskel kibao home wakisema atakae leta ringi anaingia bure mi ndo wa kwanza coz wote wanafunzi walikua wanaishi shamba mi ndo wa Senta
Toto la sentaMi nlikua nna maringi ya baiskel kibao home wakisema atakae leta ringi anaingia bure mi ndo wa kwanza coz wote wanafunzi walikua wanaishi shamba mi ndo wa Senta
Money laundering hah haaaa.... Magufuli hawaachi, yaani yeye anaondoa hela kwenye mzunguko halafu mwana mazingaombwe anazitengeneza, huyu ni wa kumfunga, analeta inflation
Hahahahahaaa. Profesa Eyeso je? Alikuwa anavaa mavazi kama joker wa kwenye karata. Ee bwana, wakitokea kuzipokea rims zako uniite nikuhesabie mpunga wako. #Jus'PraiseMe anatuua live!Wale WANA MAZINGAOMBWE waliokua wanageuza MAKARATASI kuwa HELA tukiwa PRIMARY SCHOOL wapo Wapi? Huu ndio Muda Sahihi sasa mimi nina RIM PAPER Kama 3 hivi Hazina Matumizi.
Hizi stori zinasambaa tz nzima.Hawa jamaa ndio walioeneza story za kwamba Zeruzeru hawafi
Nkumbuka kuna mmoja alikujaga akawa anasema kama mnabisha hawafi tumwoneshe Kaburi alilozikwa Zeruzeru, baada nilikuja kugundua kumbe kulikuwa na ushirikina wa kutumia viungo na mifupa ya Albino kwenye shughuli zao.
Naye anafanya mazingaombwe yake ya kugawa hela za kujenga choo kwa wanafunziHahahahahaaa. Profesa Eyeso je? Alikuwa anavaa mavazi kama joker wa kwenye karata. Ee bwana, wakitokea kuzipokea rims zako uniite nikuhesabie mpunga wako. #Jus'PraiseMe anatuua live!
Money laundering hah haaaa.... Magufuli hawaachi, yaani yeye anaondoa hela kwenye mzunguko halafu mwana mazingaombwe anazitengeneza, huyu ni wa kumfunga, analeta inflation
Alikuwa anaruka magari zaidi ya matatu, nakumbuka alijaza uwanja wa Sokoine, enzi hizo ukiitwa Uwanja wa Mapinduzi
Suuuper kibongeeee!Power ngeta
Nimemkumbuka EyesoreHahahahahaaa. Profesa Eyeso je? Alikuwa anavaa mavazi kama joker wa kwenye karata. Ee bwana, wakitokea kuzipokea rims zako uniite nikuhesabie mpunga wako. #Jus'PraiseMe anatuua live!
sawa kabisa mhenga mwenzanguSuuuper kibongeeee!
Hapo PA inafanyika mtaa kwa mtaa, chocho kwa chocho... 'Pawa' kavaa makorokoro gani sijui., dah!
Wale WANA MAZINGAOMBWE waliokua wanageuza MAKARATASI kuwa HELA tukiwa PRIMARY SCHOOL wapo Wapi? Huu ndio Muda Sahihi sasa mimi nina RIM PAPER Kama 3 hivi Hazina Matumizi.
Duh!! umenikumbusha GUBITI pipi (Lolipop) za kienyeji.Mwingine alikuwa akiitwa kababayeee,, alikuwa akisema,”” kababaa yeee,, tunasema yeee,, au anaimba,,” kababaa nisogee sogee,,tunajibu “” Songea “”” hahahah ilikuwa raha sana,,, na masiya moteee semaaaaaa,,,tunaitikia “”” masiya moteeeee ‘’ day!! Natamani kurudia yale maisha,, hela ilikuwa na thamani maana kiingilio ilikuwa sh 20,, sisi arusha kulikuwa na sukari guru na kitu ingine inaitwa ngubiti,inatengenezwa na sukari guru,,dah long aisee