Wanam miss kama tunavyommiss Kikwete.

Naona unapanick, inaelekea unaisoma namba kisawasawa. FYI uchumi wangu hautegemei Kikwete au Magufuli, I live above average comfortably. Ninachomchukia yule lofa Mkwere ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi, refer to wafanyakazi hewa.
Lofa wewe na familia yako...
 
Sijui sababu gani mnachukulia swala la Mkwere personal. Mi nimesema sio kila mtu anammiss na kama wewe unammiss sawa lakini msilazimishe kwa watu wote iwe hivyo.
Mimi siko Kwenye au kutokummiss.... Nashangazwa kumwita kiongozi mstaafu lofa.... Inaonekana una chuki binafsi.
 
Mimi siko Kwenye au kutokummiss.... Nashangazwa kumwita kiongozi mstaafu lofa.... Inaonekana una chuki binafsi.


TED are you talking about? Chuki binafsi na JK unafikiri nilisoma nae? Halafu sina hiyo nidhamu ya woga ya kuwasujudia wanasiasa. Kuna watu wanamcriticise Nyerere, sasa Mkwere nani?
 
Familia yangu aihusiki na maneno na kauli zangu za hapa Jamii Forums.
Na JK anahusika vp... Wewe umetajiwa familia tu povu... JK ni kipenzi cha watu wengi we unamwita lofa unaona sawa.... Looks like you did not go to school otherwise you would not behave like a housefly
 
TED are you talking about? Chuki binafsi na JK unafikiri nilisoma nae? Halafu sina hiyo nidhamu ya woga ya kuwasujudia wanasiasa. Kuna watu wanamcriticise Nyerere, sasa Mkwere nani?
Kucritisize kitu kimoja na kutukana kitu kingine.... U should know the difference.
 
Na JK anahusika vp... Wewe umetajiwa familia tu povu... JK ni kipenzi cha watu wengi we unamwita lofa unaona sawa.... Looks like you did not go to school otherwise you would not behave like a housefly


Kucritisize kitu kimoja na kutukana kitu kingine.... U should know the difference.


I didn't go to school but at least I can think and speak my mind than you, fool. Kipenzi cha watu my foot, Mkwere lofa tu kama wewe. What he did for this country it'll take some years to cover the gape. That guy is corrupt and he spent millions of taxi money to please his friend and their families. Because you are blind, you can't see the truth Mr. Educated
 
It is a very difficult task to argue with such an ungrateful punk like you.... To hell with what you think... You may judge as you please... No tax payable... See yaa.
 
It is a very difficult task to argue with such an ungrateful punk like you.... To hell with what you think... You may judge as you please... No tax payable... See yaa.


Knock yourself out Mr. Educated.
 
Watamkubuka wapiga DILI hasa walioambulia ktk ufisadi wa Richmond,, Escrow,, na wezi wa makontena na wale wa koki ya mafuta kule Bandarini,,
Wengi tunaona huyu wa sasa ni bora Mara dufu kuliko yule aliye waacha Nyoka wa makengeza na fedha ya mboga bila kuwafikisha mahakamani.

Huyu wa sasa ananyoosha pande zote zikae sasa,, kwa kifupi HAKUNA KUPIGA MADILI SASA HIVI.
 
Watamkubuka wapiga DILI hasa walioambulia ktk ufisadi wa Richmond,, Escrow,, na wezi wa makontena na wale wa koki ya mafuta kule Bandarini,,
Wengi tunaona huyu wa sasa ni bora Mara dufu kuliko yule aliye waacha Nyoka wa makengeza na fedha ya mboga bila kuwafikisha mahakamani.

Huyu wa sasa ananyoosha pande zote zikae sasa,, kwa kifupi HAKUNA KUPIGA MADILI SASA HIVI.
Wafwaa
 
Back
Top Bottom