Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"I wishi I KuDu Be Igp,Wale Wote Waliomshangilia Wangekuwa Ndani"Hivi siku JK hapa akishangiliwa hivi mkulu atajisikiaje sijui
Uchochezi huoNatamani itokee hiyo siku.
Umesahau ya Nikki Mbishi na wimbo wake ?Hivi siku JK hapa akishangiliwa hivi mkulu atajisikiaje sijui
Uchochezi huo sasaUmesahau ya Nikki Mbishi na wimbo wake ?
Koomerniner!! Sio kwa hali hii. Labda kama unafanya kazi ikulu.
Ukilimlinganisha na magu...ni bora jk angeendelea kuwa rais!! Nna mmiss jk!!
Hayo ni mawazo yako mkuu!! Baki na uaminicho!! Kwangu jk atabaki kuwa kiongozi bora kuliko magu!!Wapenda shortcut ndio wanammis Mkwere maana kuna watu walikuwa wanakaa nyumbani tu bila kufanyakazi lakini wanapokea mshahara kila mwezi. JK alikuwa rais wa shamba la bibi. Watu wanalipa kodi ye kazi yake kutumia tu na washkaji zake.
Halafu mtu kama wewe ni maskini wa akili na uchumi mnajulikanaWapenda shortcut ndio wanammis Mkwere maana kuna watu walikuwa wanakaa nyumbani tu bila kufanyakazi lakini wanapokea mshahara kila mwezi. JK alikuwa rais wa shamba la bibi. Watu wanalipa kodi ye kazi yake kutumia tu na washkaji zake.
Halafu mtu kama wewe ni maskini wa akili na uchumi mnajulikana
mmmm MKWERE lofa? KUBWA ZIMA OVYOOOOOOOOONaona unapanick, inaelekea unaisoma namba kisawasawa. FYI uchumi wangu hautegemei Kikwete au Magufuli, I live above average comfortably. Ninachomchukia yule lofa Mkwere ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi, refer to wafanyakazi hewa.
Obama baada ya kuonekana ktk jiji la New York baada ya Urais.
Barack Obama Gets A Huge Welcome In New York City!:
Huna lolote zaidi ya roho mbaya... Watu wenye uchumi mzuri hawajisifii... Wala hawana akili kama zakoNaona unapanick, inaelekea unaisoma namba kisawasawa. FYI uchumi wangu hautegemei Kikwete au Magufuli, I live above average comfortably. Ninachomchukia yule lofa Mkwere ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi, refer to wafanyakazi hewa.
Kuna mfanyakaz hewa yoyote kashtakiwa? ?mtaje hata mmojaNaona unapanick, inaelekea unaisoma namba kisawasawa. FYI uchumi wangu hautegemei Kikwete au Magufuli, I live above average comfortably. Ninachomchukia yule lofa Mkwere ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi, refer to wafanyakazi hewa.
Wafanya kazi hewa kwani hakuna wajirii mbona issue ya wafanya kazi hewa IPO wazi sana .Naona unapanick, inaelekea unaisoma namba kisawasawa. FYI uchumi wangu hautegemei Kikwete au Magufuli, I live above average comfortably. Ninachomchukia yule lofa Mkwere ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi, refer to wafanyakazi hewa.
mmmm MKWERE lofa? KUBWA ZIMA OVYOOOOOOOOO
Huna lolote zaidi ya roho mbaya... Watu wenye uchumi mzuri hawajisifii... Wala hawana akili kama zako
Wafanya kazi hewa kwani hakuna wajirii mbona issue ya wafanya kazi hewa IPO wazi sana .
Kama JK ni lofa Sijui wewe utakuwa nani.... Maana Hakuna msamiati sahihi wa kukuita.... Tukikuita punguani pia tutakuwa tumekusifu.Sasa mnalazimisha tummiss? Ndio maana nimesema kila mtu ajisemee mwenyewe. Kuna watu wengi kama mimi tunakushukuru yule lofa kaenda zake.
Bila shaka we ni mkatolikiWapenda shortcut ndio wanammis Mkwere maana kuna watu walikuwa wanakaa nyumbani tu bila kufanyakazi lakini wanapokea mshahara kila mwezi. JK alikuwa rais wa shamba la bibi. Watu wanalipa kodi ye kazi yake kutumia tu na washkaji zake.
Bila shaka we ni mkatoliki
Kama JK ni lofa Sijui wewe utakuwa nani.... Maana Hakuna msamiati sahihi wa kukuita.... Tukikuita punguani pia tutakuwa tumekusifu.