wew achaa ufalaaa mwenye jukumu la kulinda nchi ni jeshi na sii police. police vibaraka vya ccm au huoni.?
nawa pugweee tuu kama wakuu wao wanavyosemaaa
mdogo,jeshi limechafuka siku hz,naishia hapa
wew achaa ufalaaa mwenye jukumu la kulinda nchi ni jeshi na sii police. police vibaraka vya ccm au huoni.?
nawa pugweee tuu kama wakuu wao wanavyosemaaa
Nakutamani sanaaaaaa
Halafu bahati mbaya kuna watu watapoteza kazi hapa.
Hasa hasa huyo Luteni aliyotoa magari na silaha kwa jwtz, hana akili.
Haya majeshi mawili nchini huwa hayapatani kabisa. Waliwahi kupigana tena pale igoma Mwanza.
Mob mbaya sana.
huyu mwandishi wa habari na dc wote waongo tu, wananchi walifurahia sana kitendo cha polisi kupigwa na jwtz watatu na waliopiga risasi ni polisi sio wanajeshi bhana, kama wale madogo wangepata silaha ingekuwa mengine! Na huu ni utovu wa nidhamu na uvutaji bhangi holela wa hawa vijana wetu wa vyombo vya usalama, siku hiyo polisi walituharasi sana na mabomu ya machozi hata tusiojua nini kinaendelea!!!
Kazi ya jeshi jwtz ni kulinda mipaka.amani ya ndani sio kazi yao ndio maana nao eamelala wakati huu.
It is very interesting story japo hawajaeleza ugomvi uliishaje
anachosema Mantombazane kina logic ni mara nyingi TPDF imehusika na ukiukwaji wa sheria na hasa haki za binadam kwa kupigapiga raia bila sababu na kuwashambulia polisi(polisi wa usalama barabarani) rejea tukio la ubungo si mara moja,kwani sisi raia hatuna haraka??walishamtwanga traffic pale,ila kuvamia mitaani na kupiga raia si mara moja mdau lutamyo ni mara nyingi sana,wiki 2 zilizopita hapahapa jamvini iliripotiwa kuwa JWTZ wanajesh wake wamewapiga vijana keko ambao walikuwa wakihisiwa kuiba simu ya sh 25,000/= ajabu sasa huyo aloibiwa wala si mwanajeshi,hawakuishia hapo wanajesh wale waliwanywesha maji machafu wale vijana,uhasama kati ya raia na wanajesh upo sana kama ulivyo kati ya askari wa wanyama pori na wakaz wanaokaa pembezon wa hifadh za taifa.
Wanajesh si malaika usiwasifie kiasi hiko wapo micharuko,wapo wengi sana Mwamunyange alivalie njuga hili,
ila mwisho nasapot POLISI KULAMBISHWA KICHAPO maana nadhan wanajesh wanatimiza kauli ya 'WAPIGWE TU' sikumbuk aloitamka hii kaul
Habari yako umeiandika kiushabikishabiki! Yaani full biasness. Ukawa mna tabu na polisi wa bongo.
Kuna taarifa kuwa ni kweli walifanya kosa lakini polisi walianza kuwanyanyasa na kudhalilisha ndo wakaweka ngumu, baada ya wao kukataa udhalilishaji polisi wakaanza kuwapiga ndipo ugomvi ukaanza rasmi kwa wao kujibu mashambulizi. Je taratibu zinaruhusu polisi kudhalilisha watuhumiwa? Au hata kuwapiga?Naomba msishabikie hii kama ni ukweli. Labda ni joke.
Vyombo hivi ni muhimu kwetu vikawa na heshima busara na uzalendo kwa hio kusikia
- mwanajeshi amevunja sheria hadi amekamatwa na polisi ni jambo la kufanyia kazi.
-au kusikia polisi wamekamata mwanajeshi bila hatia ni jambo baya pia
- kuwa jeshi JWTZ wanachukua hatua za kupiga individual police men Ni jambo la kutisha
Tuwaombee viongozi wote wenye dhamana ya maamuzi kwa level yoyote wapate busara uimara na ujasiri wa kutekeleza majukumu yao kizalendo
Kuna taarifa kuwa ni kweli walifanya kosa lakini polisi walianza kuwanyanyasa na kudhalilisha ndo wakaweka ngumu, baada ya wao kukataa udhalilishaji polisi wakaanza kuwapiga ndipo ugomvi ukaanza rasmi kwa wao kujibu mashambulizi. Je taratibu zinaruhusu polisi kudhalilisha watuhumiwa? Au hata kuwapiga?