Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,708
- 4,577
mm siwapendi polisi kutokana na dhuluma wanazofanyia raia daily. wapigwe tu. watz inabidi tuhoji majukumu ya polisi hapa nchini. majambaz wanaua raia daily lakn polisi wanahangaika na daladala na bodaboda mtaani tu kulazimisha rushwa
We unaonekana ni mtu wa makamo ya kutosha tu, lakini akili zako sawa na za nyumbu. Kwani unapozungumzia majukumu ya polisi, swala la kusimamia daladala na bodaboda wanaovunja watu miguu kila siku sio jukumu lao? Ukiwa shabiki wa mbowe akili zinaporomoka kabisa.