raamar
JF-Expert Member
- Aug 17, 2014
- 252
- 23
Uliangalia habari ya jana ucku ITV?kuna FFU mmoja ana mwili hv alipewa mkono akapepesuka kurudi nyuma akakimbilia kwny gari!Jeshi litabaki kuwa jeshi tu nchi yoyote ile!sema JWTZ cku hz imeingiliwa na siasa na diplomasia imekua nyingi mno!Enzi za kina Gen Musuguri na makamanda wengine wa cku za nyuma icho kituo cha police wangehama!!
umenkumbusha mbali xaaaana