Wanajuana hawa wafunga buti kila leo wanagombana wenyewe tu ..sisikii magereza amegombana na mmoja kati yao. Askari wa magereza wana adabu saana ukilinganisha na JWTZ na Polisi.
Kigoma pale kambi ya magereza na polisi wapo jirani kabsaa ila hata siku moja hawajawahi kupigana ila polisi na jwtz wako mbalimbali ila ndo wa kwanza kupigana makonde. Hawana adabu hawa!!
Watanzania tuna matatizo ya hakili au cjui nisema Africa au ngozi nyeusi , kua jeshi sio maanake uvunje sheria. Wanajeshi Hawa Jwtz wanadhani kua wanaweza kuishi bila kuguswa na sheria ata kidogo huu ni umbumbumbu kabisa!
acheni ushabiki wa kitoto
HIVI WAVUNJE SHERIA WASIGUSWE???????
hata kama polisi ni wabaya lakini wana haki ya kusimamia usalama wa raia wote bila kujali chochote
hii ilitokea Arusha ila walishikishwa adabu na FFU kuwa mjeda haimaanishi uishi utakavyo
nawashangaa sana mnaoshabikia
kwa lugha nyingine huyo mjeda AKIBAKA MWANAO ASIGUSWE???maana hili nalo kosa
Hivi neno JESHI au MWANAJESHI lina maana ya askari wa JWTZ? Kwani Police sio JESHI?
Unaposema JESHI watoa kipigo kwa Polisi kwani POLISI sio JESHI? Ufafanuzi plz
hii habari ipo kishabiki sana na watu wanajibu kishabiki sana kuliko uhalisia wenyewe kama ni kweli polisi wamepigwa imekuwaje wajeda hao wakawa cello ya police? si wangewapiga nakuondoka? we know much and we don't want to speak
Safi sana JWTZ. Dunda sana hayo mapolisi. Yamepoteza heshima kwa raia. Mengi yao hayana akili na wamefoji vyeti vya form 4 wapate ajira. Kitakachofuata ni raia kushirikiana na JWTZ kuwapa kichapo polisi hadharani.
Hao wanajeshi naomba wakrudishe nidhamu pale Dodoma
Kabla pilice hawajatumia silaha ilikuwa 3-0,silaha ndo zikawafanya Jwtz wacool down
wewe utakuwa ni polisi maana una jazba kama vile umenyimwa rushwa na mama muuza gongo!!angalia watu kama hawa na usikute hapo alipo anakichwa kikubwaa lakn bongo lote ni kamasi tupu...
Hakuna aliyejuu ya sheria.
Leo hii ww ukiibiwa,mwanao kabakwa au ndg yako kapigwa panga hutaenda jwtz bali utaongoza hilo bongo lako lilijaa makamasi kwenda polis
laana hiyo ina watafuna hao watumwa wa ccm.VURUGU MARA: Wanajeshi 6 JWTZ jioni hii wavamia kituo cha polisi cha Tarime na kuwapiga polisi baada ya mwenzao kukamatwa, RPC Lazaro Mambosasa athibitisha.
CHANZO: Mwananchi
wewe utakuwa ni polisi maana una jazba kama vile umenyimwa rushwa na mama muuza gongo!!
una akili wewe?au ndiyo unaleta siasa hadi kwenye huu uzi unajua umuhimu wa jeshi la polisi nchini!?hiv unajua kuwa utulivu ambao tunao ndani ya nchi ni kazi ya polisi?au wewe ni ukawa!?
Nakushauri ujifunze namna ya kuandika comment zako ktk halaiki kama hii...ucdhan uko safe kiasi hiko