Wanajeshi/ polisi na Usalama wafundishwe Ujasiri wa kupinga dhulma na kutetea Haki ndani ya Nchi. Huo ndio ujasiri wa Kweli na sio vinginevyo.

Wanajeshi/ polisi na Usalama wafundishwe Ujasiri wa kupinga dhulma na kutetea Haki ndani ya Nchi. Huo ndio ujasiri wa Kweli na sio vinginevyo.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
34,055
Reaction score
79,399
WANAJESHI/ POLISI NA USALAMA WAFUNDISHWE UJASIRI WA KUPINGA DHULMA NA KUTETEA HAKI NDANI YA NCHI. HUO NDIO UJASIRI WA KWELI NA SIO VINGINEVYO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Moja ya sifa kuu za mwanajeshi na askari ni kuwa JASIRI na ili Mwanajeshi aitwe Jasiri lazima awe jasiri wa kupigania HAKI za Watu wa taifa lake.
Kuzuia na kupambana na maadui wa ndani na nje ya taifa lake wanaotaka kuharibu Haki za watu wake.
Kupigana na kupinga uonevu, dhulma ndani ya nchi.
Uanajeshi ni kulinda usalama. Kuwa mlinzi wa watu wako na nchi yako.
Na ulinzi na usalama ni kuhakikisha Haki ipo ndani ya jamii yako na kuitetea ili wananchi wako(wakiwemo viongozi na wewe mwenyewe muweze kuishi kwa Amani).

Huwezi kujiita Mwanajeshi au Askari alafu mtaani unapoishi kuna watu wanaonewa na kudhulumiwa alafu wewe huna ujasiri wa kupigania haki zao. Wewe sio mwanajeshi wala huna vigezo vya kuwa Mwanajeshi wala Askari

Mwanajeshi ni kuwa na nidhamu kwa oda au amri za HAKI. Sio uendeshwe kama Roboti. Kwamba kila kitu ukiambiwa useme ndio Mkuu hata kama amri ya kishenzi au ya dhulma. Huo ni woga.

Hakunaga mtu jasiri wa ndio Mkuu kwa kila kitu. Huyo mtu hayupo. Ujasiri ni pamoja na kupinga oda na amri za kijinga na kipuuzi bila kujali anayesema ni nani.

Mwanajeshi huheshimu watu kwa vyeo lakini hufuata amri za haki.

Ukiona huna uwezo wa kumkatalia kiongozi wako akikuagiza jambo baya ujue hukufuzu mafunzo. Wewe sio mwanajeshi na haupo kundi la watu jasiri.

Mwanajeshi sio kibaraka
Mwanajeshi sio Mbwa kwamba akiambiwa shii kamata anakamata hata kama amri hiyo ni haramu.
Mwanajeshi sio roboti kwamba umesetiwa kama yale maroboti ya Elon Musk.

Sasa kama unafuata chochote unakosa vigezo vya kuitwa mwanajeshi.
Wewe ni Coward, Mwoga.

Watawala waovu wengi wameweka mfumo kuwa mwanajeshi ni mbwa wa kufuata kila kitu jambo ambalo kiuhalisia sio kweli.

Mwanajeshi asiyefuata Haki na anayefuata hata amri haramu ni mwoga na mara nyingi hudharauliwa na kutumika kama risasi tuu. Ikishatofyatuka hakuna mwenye habari nayo.

Kijana, unapofikiri kuwa mwanajeshi lazima kitu cha kwanza ufikirie HAKI.
Kwa sababu upo kwaajili ya kupambana na maadui wa watu wako ambao hawatendi HAKI bila kujali nafasi zao.

Jeshi likiwa na haki automatically hakuna mwanasiasa atakayeleta michezo ya kijingajinga, dhulma itapungua kwa kiasi kikubwa.
Na wananchi watakuwa Safe.

Ukiona wanasiasa wanamatatizo, mafisadi au wanafanya matendo ya kihalifu lazima ujue kuna tatizo kubwa katika mfumo wa jeshi, askari, usalama, polisi.
Kwa sababu hao ndio kimbilio na egemeo la wanasiasa.

Hakuna mwanasiasa au mtu atakayeweza kutawala bila kuwa na jeshi/dola.
Hivyo mtu anavyotawala iwe kwa ubaya au kwa wema lazima kuna baraka za jeshi.

Kufikia hapa sina la ziada.

TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
 
WANAJESHI/ POLISI NA USALAMA WAFUNDISHWE UJASIRI WA KUPINGA DHULMA NA KUTETEA HAKI NDANI YA NCHI. HUO NDIO UJASIRI WA KWELI NA SIO VINGINEVYO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Moja ya sifa kuu za mwanajeshi na askari ni kuwa JASIRI na ili Mwanajeshi aitwe Jasiri lazima awe jasiri wa kupigania HAKI za Watu wa taifa lake.
Kuzuia na kupambana na maadui wa ndani na nje ya taifa lake wanaotaka kuharibu Haki za watu wake.
Kupigana na kupinga uonevu, dhulma ndani ya nchi.
Uanajeshi ni kulinda usalama. Kuwa mlinzi wa watu wako na nchi yako.
Na ulinzi na usalama ni kuhakikisha Haki ipo ndani ya jamii yako na kuitetea ili wananchi wako(wakiwemo viongozi na wewe mwenyewe muweze kuishi kwa Amani).

Huwezi kujiita Mwanajeshi au Askari alafu mtaani unapoishi kuna watu wanaonewa na kudhulumiwa alafu wewe huna ujasiri wa kupigania haki zao. Wewe sio mwanajeshi wala huna vigezo vya kuwa Mwanajeshi wala Askari

Mwanajeshi ni kuwa na nidhamu kwa oda au amri za HAKI. Sio uendeshwe kama Roboti. Kwamba kila kitu ukiambiwa useme ndio Mkuu hata kama amri ya kishenzi au ya dhulma. Huo ni woga.

Hakunaga mtu jasiri wa ndio Mkuu kwa kila kitu. Huyo mtu hayupo. Ujasiri ni pamoja na kupinga oda na amri za kijinga na kipuuzi bila kujali anayesema ni nani.

Mwanajeshi huheshimu watu kwa vyeo lakini hufuata amri za haki.

Ukiona huna uwezo wa kumkatalia kiongozi wako akikuagiza jambo baya ujue hukufuzu mafunzo. Wewe sio mwanajeshi na haupo kundi la watu jasiri.

Mwanajeshi sio kibaraka
Mwanajeshi sio Mbwa kwamba akiambiwa shii kamata anakamata hata kama amri hiyo ni haramu.
Mwanajeshi sio roboti kwamba umesetiwa kama yale maroboti ya Elon Musk.

Sasa kama unafuata chochote unakosa vigezo vya kuitwa mwanajeshi.
Wewe ni Coward, Mwoga.

Watawala waovu wengi wameweka mfumo kuwa mwanajeshi ni mbwa wa kufuata kila kitu jambo ambalo kiuhalisia sio kweli.

Mwanajeshi asiyefuata Haki na anayefuata hata amri haramu ni mwoga na mara nyingi hudharauliwa na kutumika kama risasi tuu. Ikishatofyatuka hakuna mwenye habari nayo.

Kijana, unapofikiri kuwa mwanajeshi lazima kitu cha kwanza ufikirie HAKI.
Kwa sababu upo kwaajili ya kupambana na maadui wa watu wako ambao hawatendi HAKI bila kujali nafasi zao.

Jeshi likiwa na haki automatically hakuna mwanasiasa atakayeleta michezo ya kijingajinga, dhulma itapungua kwa kiasi kikubwa.
Na wananchi watakuwa Safe.

Ukiona wanasiasa wanamatatizo, mafisadi au wanafanya matendo ya kihalifu lazima ujue kuna tatizo kubwa katika mfumo wa jeshi, askari, usalama, polisi.
Kwa sababu hao ndio kimbilio na egemeo la wanasiasa.

Hakuna mwanasiasa au mtu atakayeweza kutawala bila kuwa na jeshi/dola.
Hivyo mtu anavyotawala iwe kwa ubaya au kwa wema lazima kuna baraka za jeshi.

Kufikia hapa sina la ziada.

TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
 
WANAJESHI/ POLISI NA USALAMA WAFUNDISHWE UJASIRI WA KUPINGA DHULMA NA KUTETEA HAKI NDANI YA NCHI. HUO NDIO UJASIRI WA KWELI NA SIO VINGINEVYO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Moja ya sifa kuu za mwanajeshi na askari ni kuwa JASIRI na ili Mwanajeshi aitwe Jasiri lazima awe jasiri wa kupigania HAKI za Watu wa taifa lake.
Kuzuia na kupambana na maadui wa ndani na nje ya taifa lake wanaotaka kuharibu Haki za watu wake.
Kupigana na kupinga uonevu, dhulma ndani ya nchi.
Uanajeshi ni kulinda usalama. Kuwa mlinzi wa watu wako na nchi yako.
Na ulinzi na usalama ni kuhakikisha Haki ipo ndani ya jamii yako na kuitetea ili wananchi wako(wakiwemo viongozi na wewe mwenyewe muweze kuishi kwa Amani).

Huwezi kujiita Mwanajeshi au Askari alafu mtaani unapoishi kuna watu wanaonewa na kudhulumiwa alafu wewe huna ujasiri wa kupigania haki zao. Wewe sio mwanajeshi wala huna vigezo vya kuwa Mwanajeshi wala Askari

Mwanajeshi ni kuwa na nidhamu kwa oda au amri za HAKI. Sio uendeshwe kama Roboti. Kwamba kila kitu ukiambiwa useme ndio Mkuu hata kama amri ya kishenzi au ya dhulma. Huo ni woga.

Hakunaga mtu jasiri wa ndio Mkuu kwa kila kitu. Huyo mtu hayupo. Ujasiri ni pamoja na kupinga oda na amri za kijinga na kipuuzi bila kujali anayesema ni nani.

Mwanajeshi huheshimu watu kwa vyeo lakini hufuata amri za haki.

Ukiona huna uwezo wa kumkatalia kiongozi wako akikuagiza jambo baya ujue hukufuzu mafunzo. Wewe sio mwanajeshi na haupo kundi la watu jasiri.

Mwanajeshi sio kibaraka
Mwanajeshi sio Mbwa kwamba akiambiwa shii kamata anakamata hata kama amri hiyo ni haramu.
Mwanajeshi sio roboti kwamba umesetiwa kama yale maroboti ya Elon Musk.

Sasa kama unafuata chochote unakosa vigezo vya kuitwa mwanajeshi.
Wewe ni Coward, Mwoga.

Watawala waovu wengi wameweka mfumo kuwa mwanajeshi ni mbwa wa kufuata kila kitu jambo ambalo kiuhalisia sio kweli.

Mwanajeshi asiyefuata Haki na anayefuata hata amri haramu ni mwoga na mara nyingi hudharauliwa na kutumika kama risasi tuu. Ikishatofyatuka hakuna mwenye habari nayo.

Kijana, unapofikiri kuwa mwanajeshi lazima kitu cha kwanza ufikirie HAKI.
Kwa sababu upo kwaajili ya kupambana na maadui wa watu wako ambao hawatendi HAKI bila kujali nafasi zao.

Jeshi likiwa na haki automatically hakuna mwanasiasa atakayeleta michezo ya kijingajinga, dhulma itapungua kwa kiasi kikubwa.
Na wananchi watakuwa Safe.

Ukiona wanasiasa wanamatatizo, mafisadi au wanafanya matendo ya kihalifu lazima ujue kuna tatizo kubwa katika mfumo wa jeshi, askari, usalama, polisi.
Kwa sababu hao ndio kimbilio na egemeo la wanasiasa.

Hakuna mwanasiasa au mtu atakayeweza kutawala bila kuwa na jeshi/dola.
Hivyo mtu anavyotawala iwe kwa ubaya au kwa wema lazima kuna baraka za jeshi.

Kufikia hapa sina la ziada.

TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
Huo ndio uraia,uzalendo na maadili ambao haufundishwi
 
Wengi wameajiriwa kwa vyeti magumashi na hakuna ukaguzi ndio maana unaoa hizo kazi ni za kurithishana sana hata watangaze ajira wengi wanatoka kwenye nyumba moja..

Kuwa darasa la saba, kusoma au kutokusoma hakuna uhusiano na Haki.

Wapo watu ni darasa la saba au hawajasoma lakini wanatetea haki na wapo wenye madigrii ni wadhulmat wakubwa
 
WANAJESHI/ POLISI NA USALAMA WAFUNDISHWE UJASIRI WA KUPINGA DHULMA NA KUTETEA HAKI NDANI YA NCHI. HUO NDIO UJASIRI WA KWELI NA SIO VINGINEVYO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Moja ya sifa kuu za mwanajeshi na askari ni kuwa JASIRI na ili Mwanajeshi aitwe Jasiri lazima awe jasiri wa kupigania HAKI za Watu wa taifa lake.
Kuzuia na kupambana na maadui wa ndani na nje ya taifa lake wanaotaka kuharibu Haki za watu wake.
Kupigana na kupinga uonevu, dhulma ndani ya nchi.
Uanajeshi ni kulinda usalama. Kuwa mlinzi wa watu wako na nchi yako.
Na ulinzi na usalama ni kuhakikisha Haki ipo ndani ya jamii yako na kuitetea ili wananchi wako(wakiwemo viongozi na wewe mwenyewe muweze kuishi kwa Amani).

Huwezi kujiita Mwanajeshi au Askari alafu mtaani unapoishi kuna watu wanaonewa na kudhulumiwa alafu wewe huna ujasiri wa kupigania haki zao. Wewe sio mwanajeshi wala huna vigezo vya kuwa Mwanajeshi wala Askari

Mwanajeshi ni kuwa na nidhamu kwa oda au amri za HAKI. Sio uendeshwe kama Roboti. Kwamba kila kitu ukiambiwa useme ndio Mkuu hata kama amri ya kishenzi au ya dhulma. Huo ni woga.

Hakunaga mtu jasiri wa ndio Mkuu kwa kila kitu. Huyo mtu hayupo. Ujasiri ni pamoja na kupinga oda na amri za kijinga na kipuuzi bila kujali anayesema ni nani.

Mwanajeshi huheshimu watu kwa vyeo lakini hufuata amri za haki.

Ukiona huna uwezo wa kumkatalia kiongozi wako akikuagiza jambo baya ujue hukufuzu mafunzo. Wewe sio mwanajeshi na haupo kundi la watu jasiri.

Mwanajeshi sio kibaraka
Mwanajeshi sio Mbwa kwamba akiambiwa shii kamata anakamata hata kama amri hiyo ni haramu.
Mwanajeshi sio roboti kwamba umesetiwa kama yale maroboti ya Elon Musk.

Sasa kama unafuata chochote unakosa vigezo vya kuitwa mwanajeshi.
Wewe ni Coward, Mwoga.

Watawala waovu wengi wameweka mfumo kuwa mwanajeshi ni mbwa wa kufuata kila kitu jambo ambalo kiuhalisia sio kweli.

Mwanajeshi asiyefuata Haki na anayefuata hata amri haramu ni mwoga na mara nyingi hudharauliwa na kutumika kama risasi tuu. Ikishatofyatuka hakuna mwenye habari nayo.

Kijana, unapofikiri kuwa mwanajeshi lazima kitu cha kwanza ufikirie HAKI.
Kwa sababu upo kwaajili ya kupambana na maadui wa watu wako ambao hawatendi HAKI bila kujali nafasi zao.

Jeshi likiwa na haki automatically hakuna mwanasiasa atakayeleta michezo ya kijingajinga, dhulma itapungua kwa kiasi kikubwa.
Na wananchi watakuwa Safe.

Ukiona wanasiasa wanamatatizo, mafisadi au wanafanya matendo ya kihalifu lazima ujue kuna tatizo kubwa katika mfumo wa jeshi, askari, usalama, polisi.
Kwa sababu hao ndio kimbilio na egemeo la wanasiasa.

Hakuna mwanasiasa au mtu atakayeweza kutawala bila kuwa na jeshi/dola.
Hivyo mtu anavyotawala iwe kwa ubaya au kwa wema lazima kuna baraka za jeshi.

Kufikia hapa sina la ziada.

TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
Anaye wafundisha mwenyewe chawa sasa wafundishane nini hao
 
Kwa hesabu za haraka hatuna watu wenye uwezo wowote wa kizalendo katika hao. Tuna machawa tu kila kona. Kwa kweli kama nchi tuko kwenye wakati mgumu sana sana. Hawa wote ni watu weak tu na wanafanya uchawa mwanzo mwisho.
 
Mimi ningekuwa police hadi leo ...zilitoka nafasi kama sio kata mtu mmoja (familia ya mazingira magumu) Diwani kwa sababu nilikuwa mpambe wake akaenda moja kwa moja kwa mzee wangu kumwambia natakiwa na vigezo uwe pure ccm cheti cha kuzaliwa na cheti cha form 4 hata kama umefeli peleka leaving cheti.

Bahati nzuri upolisi kazi ya lana kuliko zote sikuwahi kuipenda kabisa na sikuwa na maeneo ya nyumbani kipindi nafasi hiyo inanifuata nyumbani.Mzee alinipigia akaniambia kuhusu hilo nikamwambia sitaki.

Kwanini nimesema haya ? iko hivi ili upitishwe kuwa police lazima uwe uvccm pamoja na kadi ya uanachama wa ccm ndo unapitishwa kwenda huko ndio maana hawana uwezo huo kwa kuhoji.

Hata usaili wa walimu kama sikudanganywa kuna dogo aliniambia wameambiwa wawe na kadi ya chama cha yanga
 
WANAJESHI/ POLISI NA USALAMA WAFUNDISHWE UJASIRI WA KUPINGA DHULMA NA KUTETEA HAKI NDANI YA NCHI. HUO NDIO UJASIRI WA KWELI NA SIO VINGINEVYO.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Moja ya sifa kuu za mwanajeshi na askari ni kuwa JASIRI na ili Mwanajeshi aitwe Jasiri lazima awe jasiri wa kupigania HAKI za Watu wa taifa lake.
Kuzuia na kupambana na maadui wa ndani na nje ya taifa lake wanaotaka kuharibu Haki za watu wake.
Kupigana na kupinga uonevu, dhulma ndani ya nchi.
Uanajeshi ni kulinda usalama. Kuwa mlinzi wa watu wako na nchi yako.
Na ulinzi na usalama ni kuhakikisha Haki ipo ndani ya jamii yako na kuitetea ili wananchi wako(wakiwemo viongozi na wewe mwenyewe muweze kuishi kwa Amani).

Huwezi kujiita Mwanajeshi au Askari alafu mtaani unapoishi kuna watu wanaonewa na kudhulumiwa alafu wewe huna ujasiri wa kupigania haki zao. Wewe sio mwanajeshi wala huna vigezo vya kuwa Mwanajeshi wala Askari

Mwanajeshi ni kuwa na nidhamu kwa oda au amri za HAKI. Sio uendeshwe kama Roboti. Kwamba kila kitu ukiambiwa useme ndio Mkuu hata kama amri ya kishenzi au ya dhulma. Huo ni woga.

Hakunaga mtu jasiri wa ndio Mkuu kwa kila kitu. Huyo mtu hayupo. Ujasiri ni pamoja na kupinga oda na amri za kijinga na kipuuzi bila kujali anayesema ni nani.

Mwanajeshi huheshimu watu kwa vyeo lakini hufuata amri za haki.

Ukiona huna uwezo wa kumkatalia kiongozi wako akikuagiza jambo baya ujue hukufuzu mafunzo. Wewe sio mwanajeshi na haupo kundi la watu jasiri.

Mwanajeshi sio kibaraka
Mwanajeshi sio Mbwa kwamba akiambiwa shii kamata anakamata hata kama amri hiyo ni haramu.
Mwanajeshi sio roboti kwamba umesetiwa kama yale maroboti ya Elon Musk.

Sasa kama unafuata chochote unakosa vigezo vya kuitwa mwanajeshi.
Wewe ni Coward, Mwoga.

Watawala waovu wengi wameweka mfumo kuwa mwanajeshi ni mbwa wa kufuata kila kitu jambo ambalo kiuhalisia sio kweli.

Mwanajeshi asiyefuata Haki na anayefuata hata amri haramu ni mwoga na mara nyingi hudharauliwa na kutumika kama risasi tuu. Ikishatofyatuka hakuna mwenye habari nayo.

Kijana, unapofikiri kuwa mwanajeshi lazima kitu cha kwanza ufikirie HAKI.
Kwa sababu upo kwaajili ya kupambana na maadui wa watu wako ambao hawatendi HAKI bila kujali nafasi zao.

Jeshi likiwa na haki automatically hakuna mwanasiasa atakayeleta michezo ya kijingajinga, dhulma itapungua kwa kiasi kikubwa.
Na wananchi watakuwa Safe.

Ukiona wanasiasa wanamatatizo, mafisadi au wanafanya matendo ya kihalifu lazima ujue kuna tatizo kubwa katika mfumo wa jeshi, askari, usalama, polisi.
Kwa sababu hao ndio kimbilio na egemeo la wanasiasa.

Hakuna mwanasiasa au mtu atakayeweza kutawala bila kuwa na jeshi/dola.
Hivyo mtu anavyotawala iwe kwa ubaya au kwa wema lazima kuna baraka za jeshi.

Kufikia hapa sina la ziada.

TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
Tatizo 'mfumo'
 
Ni ndoto nzuri,lakini kiuhalisia ni upotoshaji mkubwa kuhusu mfumo wa kijeshi na kiusalama.

Jeshi na vyombo vya usalama havijengwi kwa misingi ya mtu mmoja mmoja kuamua “hii ni haki” na “hii siyo haki”. Vinaendeshwa kwa utaratibu, nidhamu na hierarchy kali kwa sababu bila hivyo taifa lingeingia kwenye machafuko ya hatari zaidi kuliko dhulma anayolalamikia.

Ukimpa kila askari uhuru wa kuchagua ni amri ipi afuate na ipi akatae kwa sababu “anaona siyo haki,” basi hakutakuwa na jeshi tena bali kikundi cha watu wanaojiendesha kwa misimamo ya kibinafsi. Na binadamu kwa asili ni wabinafsi,mtu anaweza kukataa agizo la halali kwa kisingizio cha “kupinga dhulma” kumbe ni tamaa yake binafsi au ni upotoshaji wa akili yake.

Mfano: Polisi akipewa amri ya kusambaratisha maandamano yasiyo na kibali akisema “hii ni haki yao” basi nchi nzima ingekuwa vurugu kila kukicha kama Kenya. Watu wakiingia barabarani na kuchoma mali za wengine.
Jeshi linahakikisha usalama wa taifa lote sio haki ya mtu mmoja mmoja kulingana na tafsiri yake binafsi.

Ndio maana kuna taratibu za kisheria na kikatiba za kushughulikia malalamiko sio askari mmoja kuamua.

Ni kweli kuna amri haramu (unlawful orders) lakini hizo hujadiliwa ndani ya mfumo rasmi kwa kutumia mahakama za kijeshi, bunge, au vyombo vya ndani vya nidhamu.

Kwa hiyo kazi ya askari siyo kupinga kila anachoona “dhulma,” bali ni nidhamu ya kufuata taratibu kulinda amani ya wengi na kuhakikisha taifa linaendelea kusimama. Ukitaka kubadilisha mfumo ni kwa njia za kiraia
 
Kama mtu amewahi kwenda kwenye usahili wa nafasi za police, atakubaliana na mimi kuwa ukiwa mtu mwenye uelewa na kuonyesha uwezo wa kupembenua mambo regardless kiwango chako cha elimu basi jua umeshakosa nafasi. Moja kati ya sifa kubwa wanayoiangalia jeshi letu la police ni kuwa fala.

Hivyo Robert Heriel Mtibeli usitegemee vitu vya maana sana kutoka kwa hawa askari wa nchi hii.
 
Back
Top Bottom