Wanajamvi na jamii jihadharini na Total-Korogwe

Wanajamvi na jamii jihadharini na Total-Korogwe

tunalazimika

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
1,098
Reaction score
259
Vituo ving baada ya kulazimishwa kupunguza bei ya mafuta, wameamua kucheza na pump. uwezo wa tanki ya gari langu ni 80lts when empty,

Jambo la kushangaza nimeenda kuweka mafuta nikiwa na takriban 10lts kwenye tanki lakini pump yao ikaonesha imeweka 86lts pamoja na akiba yangu ina maana tanki langu linauwezo wa 96lts.

Baada ya kuwabana sana wafanyakaz, wakahamishia lawama kwa uongozi juu ya mchezo huo mchafu. kwa nia njema kabisa nawatahadharisha ndugu zangu.
 
tunalazimika,

Pole sana mkuu. samahani ni Korogwe ya hapa Kimara au ya Tanga mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Yaan ndio tatizo la wabongo hawakubali kushindwa hawana wanachofikir zaidi ya wizi tu ktk maeneo ya kazi.Ukiziba ufa pale mwenzio anatoboa pale,ukiziba pale mwenzio anatoboa kule yaaaan kama panya buku.
 
Upo sahihi kabisa. Yalinikuta mimi pia hapo (Total - Korogwe Tanga) kama cku 12 zilizopita nikawawakia sana kwa takwimu tukaliweka sawa na hasa baada ya kuwaambia mie nipo tayari kwa lolote na safari inaishia hapa iteni vyombo vyote vinavyohusika na mafuta.

Wakakubaliana na data zangu zikaondoka. Hivyo ni kitu wanachokijua kabisa .
 
Upo sahihi kabisa. Yalinikuta mimi pia hapo (Total - Korogwe Tanga) kama cku 12 zilizopita nikawawakia sana kwa takwimu tukaliweka sawa na hasa baada ya kuwaambia mie nipo tayari kwa lolote na safari inaishia hapa iteni vyombo vyote vinavyohusika na mafuta. Wakakubaliana na data zangu zikaondoka. Hivyo ni kitu wanachokijua kabisa .

Mkuu kwediboma kuko pouwa??
Mishe za Mahindi vipi huko?
 
Back
Top Bottom