Boro Nanga
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 299
- 195
mleta uzi U.N.A.B.A.N.G.U.L.I.W.A
wanawaingiza mkenge tu, ina maana huko kansas hakuna wasio na ajira wawachukue nyie wa Tanzania.
wanawadanganya wakawafanyishe kazi za ngono
nimechat na bibie anasema unemployment rate inakua kwa kasi huko kwao,wanawaingiza mkenge tu, ina maana huko kansas hakuna wasio na ajira wawachukue nyie wa Tanzania.
wanawadanganya wakawafanyishe kazi za ngono
Ngoja tukomae tuoneKazi hizo ni:-
-mtunza mazingira wa nyumba(usafi)
-wahifadhi wa mizigo katika godaoni
-supermarket agent
-pizza supplies
-watunza vyumba hotelin pamoja na wahudu, IDADI NI VIJANA 8 TU.
kwa mawasiliano ya boss ni +1 (458) 207-4349 whatsapp.