corasco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 3,665
- 3,385
katumwa na pepo huyu.Mkuu wewe mwenyewe unayo kazi?
Natafuta kazi yoyote... - JamiiForums
katumwa na pepo huyu.Mkuu wewe mwenyewe unayo kazi?
Natafuta kazi yoyote... - JamiiForums
Pepo mchafu atokeekatumwa na pepo huyu.
Uyu MTU anakurekebishia maisha safi kabisa nilimuokota huko +1 (458) 207-4349Mi nimewapa tangazo msenye shida ajikongoje walio vzr tusimike tangazo full stop
Basi boss wangu hakinikuni kitu wala nini Mungu akubariki kwa kuleta fursa adhimu jukwaani.Husika na kichwa cha habari ndugu si Mimi yanini maneno nini kina kukuna mkuu.
Hapana,kuna jambo si bureKazi hizo ni:-
-mtunza mazingira wa nyumba(usafi)
-wahifadhi wa mizigo katika godaoni
-supermarket agent
-pizza supplies
-watunza vyumba hotelin pamoja na wahudu, IDADI NI VIJANA 8 TU.
kwa mawasiliano ya boss ni +1 (458) 207-4349 whatsapp.
umetumwa wwHapana,kuna jambo si bure
umetumwa ww
Yaani ndani ya miezi 8 tu tangu nawewe ulielie jukwaani kuomba ajira yeyote leo hii nawewe ushakuwa mtoa ajira hahahahah kweli wewe uko kwa (Tramp) boss kila la kheri.
Acha kumuongopea mwenzio wwKuna watu wanatafutwa, kaa mbali na huyu jamaa.
Laiti ungejua zile prosess za mahouse girl wakwenda uarabuni hata usingeleta izembe huo uzi hapaKazi hizo ni:-
-mtunza mazingira wa nyumba(usafi)
-wahifadhi wa mizigo katika godaoni
-supermarket agent
-pizza supplies
-watunza vyumba hotelin pamoja na wahudu, IDADI NI VIJANA 8 TU.
kwa mawasiliano ya boss ni +1 (458) 207-4349 whatsapp.
watu wasije wakawafanyisha kazi za ngono na uasherati watoto wa wenzenu huko, mnawadanganya kuna kaziKazi hizo ni:-
-mtunza mazingira wa nyumba(usafi)
-wahifadhi wa mizigo katika godaoni
-supermarket agent
-pizza supplies
-watunza vyumba hotelin pamoja na wahudu, IDADI NI VIJANA 8 TU.
kwa mawasiliano ya boss ni +1 (458) 207-4349 whatsapp.
wanawaingiza mkenge tu, ina maana huko kansas hakuna wasio na ajira wawachukue nyie wa Tanzania.kuna mama anakaa Kansas nitamuuliza juu ya habari hizi
Atakuwa alitapeliwa na yeye anajaribu kumtafuta mnyonge amtapeli.Yaani ndani ya miezi 8 tu tangu nawewe ulielie jukwaani kuomba ajira yeyote leo hii nawewe ushakuwa mtoa ajira hahahahah kweli wewe uko kwa (Tramp) boss kila la kheri.
Mpumbavu tu huyu mtoa madaMkuu wewe mwenyewe unayo kazi?
Natafuta kazi yoyote... - JamiiForums
Fanya utafiti usijegeuzwa kitoweoHii natafuta kaz jaman