Gabgo anafahamu msemo huu ( ukitaka kujua umuhimu wa ****** siku moja kalia kichwa) ndio maana anampokea huyu muungwa kwa furaha kubwa. Ambae mpaka leo hatujui aliongea nini na Kibaki hali ikawa shwali Nchini Kenya.
Gagbo aliuliza JK " wewe umepitaje mbona hujanaswana kwako pametulia......maana nimejaribu ya kwako imezua kizaa zaa ndo maana naongozea kwenye hotel.... JK akajibu usimuige tembo kunya maana yeye ni ndoo moja au mbili....wote wakacheka....Uchakachuaji nao mmmhh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.