Wanafunzi waliofeli form four na kupata div 4 na Zero watapewa nafasi ya kwenda VETA

Wanafunzi waliofeli form four na kupata div 4 na Zero watapewa nafasi ya kwenda VETA

Dennis Robert Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
4,124
Reaction score
6,141
Nikiwa Rais wanafunzi wa form four waliopata div 4 na zero wataenda VETA kwa udhamini wa serikali, na watapata ujuzi ambao anagalau utawasaidia kwenye maisha yao

Vyuo vya veta vitaboreshwa na kuwa vya kisasa na maabara za veta zitaboreshwa maradufu ili wahitimu wakitoka wawe compentent

 
Wanao faulu nao ni watoto wa masikini. Tz inatakiwa itenengeneze work force iliyoelimika ili kukidhi mahitaji ya dunia ya sasa.

Elimu iendeshwe on merit si huruma
Bado ni mdogo ndo maana huwezi nielewa
Merits zipi na huna fedha, elimu ni fedha angalia ada za shule ya msingi ya private alafu uone
 
Vyuo vya veta vitaboreshwa na kuwa vya kisasa na maabara za veta zitaboreshwa maradufu ili wahitimu wakitoka wawe compentent
 
Vyuo vya veta vitaboreshwa na kuwa vya kisasa na maabara za veta zitaboreshwa maradufu ili wahitimu wakitoka wawe compentent
Waliofeli walikuwa hawatak kusoma sasa wewe Una wabeba unawapeleka VETA Wao ako na umalaya . Uhuni .

Hizo za kuboresha VETA utazitolea wapi?
 
Nikiwa Rais wanafunzi wa form four waliopata div 4 na zero wataenda VETA kwa udhamini wa serikali, na watapata ujuzi ambao anagalau utawasaidia kwenye maisha yao

Vyuo vya veta vitaboreshwa na kuwa vya kisasa na maabara za veta zitaboreshwa maradufu ili wahitimu wakitoka wawe compentent
View attachment 3340100
Chama gani tununue kadi za uanachama
 
Kila siku CAG analalamika mabilion ya fedha yanapotea kwenye matumizi ambayo sio ntatumia hayo mabilion yananayopotea kuboreshea vyuo vya VETA
Hayo mabilionea ukiyapeleka VETA .

kwenye uongozi WAko NI mtumishi gani Serikali. Jeshi NGO ...nk. atakupenda wewe Kama rais na akili zako ndogo Kama hivi unavyofikiria?
 
Ahsante kwa kukushiriki na karibu tena
hawa waliosoma tuh mpaka chuo walipaswa kupata vituo atamizi na kupewa fedha na zisimamiwe na watalamu haohao wanaomaliza kisha kukaguliwa wawaajiri hao waliofeli kwa kuanzisha miradi mbalimbali kulingana na fani zao

kuja na hoja tangible
 
hawa waliosoma tuh mpaka chuo walipaswa kupata vituo atamizi na kupewa fedha na zisimamiwe na watalamu haohao wanaomaliza kisha kukaguliwa wawaajiri hao waliofeli kwa kuanzisha miradi mbalimbali kulingana na fani zao

kuja na hoja tangible
Kuwekeza kwa watu sio hoja tangible
 
Back
Top Bottom