Wanafunzi Jangwani wanavyozomewa sio sawa

Wanafunzi Jangwani wanavyozomewa sio sawa

Toka nifanye group sex na warembo wajagwani nimekubali kuna shule zina wahuni
 
yaani boda boda.
Nao wanawacheka waliofeli?
wakati wao hata la saba wengine hawajafika
Nakwambia unaweza usishangae tena ukiona wanavyozomea.
Wao wanaona sifaa wkt wengine walikimbia shule makusudi na hata la saba hawajafika.
 
Ni ujinga kuwazomea wanafunzi ambao hawakuufanya Mtihani husika
Kabisa.Hili jambo ni hatari.
Kuna baadhi ya wanafunzi jana walikutwa wamekaa mahali ili giza liingie ndo waende shuleni.
Ni hatari sana.Na inahuzunisha
Halafu kina wazazi hapa wanafurahia
Ndo mana nimegundua Jf sas wengi sio.wazazi kama nilivyokuwa nawaza.Nilidhani watoto wengi wapo Fb.Kumbe wameivamia Jf.
Unawaza Great thinker afanye haya??
Atukane Ovyo??.
Hapana jamani.
 
Kabisa.Hili jambo ni hatari.
Kuna baadhi ya wanafunzi jana walikutwa wamekaa mahali ili giza liingie ndo waende shuleni.
Ni hatari sana.Na inahuzunisha
Halafu kina wazazi hapa wanafurahia
Ndo mana nimegundua Jf sas wengi sio.wazazi kama nilivyokuwa nawaza.Nilidhani watoto wengi wapo Fb.Kumbe wameivamia Jf.
Unawaza Great thinker afanye haya??
Atukane Ovyo??.
Hapana jamani.
Waende nyumbani
 
Wanazomewa kwa matokeo ya wai ya NECTA wewe unataka tuwafariji kwa matokeo ya siri ya Mock are u mentally fit. hao wazomewe tu walimu waonje chungu ya uhamisho wanafunzi wazomewe hadi waache kutumia Brazilian hair
 
Wanazomewa kwa matokeo ya wai ya NECTA wewe unataka tuwafariji kwa matokeo ya siri ya Mock are u mentally fit. hao wazomewe tu walimu waonje chungu ya uhamisho wanafunzi wazomewe hadi waache kutumia Brazilian hair
Uuuuuuuwiiii!!!! Mamaaaaa!
 
Back
Top Bottom