Best chezeaa lift ww??
Pale karibu na shuleno kwao.zimefunguliwa.mall mbili mambo ya movie utawaambiaa nn??
Ni ndoto ya kila mdada kufaulu jangwani ili avae sketi fupi lols
Bora mi nilijisomeaaga jitegemeee pale ni bakoraa masaa 24 hata ukiwa nje ya shule
Nafkiri loyolaWaache umalaya.
Hivi kidoti nae kasoma jangwani?
Hii mbaya sana.Kuna watu wabaya sana.hayooo yamepata zirooooooo!
Aksante nduguumenena vyema![]()
AiseeeWanapozomewa ndo wanatakiwa waache upuuzi wajikite kwenye masomo yao, nyakati za kuimbiwa mapambio zilishapita
Kemea shetaniWacha wazomewe malaya sana
ngoja na mimi nikang'oe chuchu kwenzi
Dhana mbaya sana.Brand Name /colour ya shule yao ndiyo inayowaathiri negative/positive. Kufuta hali hiyo ya kuzomewazomewa itabidi wajitahidi sana wapate matokeo makubwa kwenye mitihani inayokuja. Kuhusu kuhamisha walimu kwa matokeo mabaya hiyo ni dhana potofu.
Hapana.Yule LoyolaWaache umalaya.
Hivi kidoti nae kasoma jangwani?