Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Kuhamishia msala kwa walimu ni LAZIMA.Na hatujafikia level ya Serikali ku take over everything. Maana ingekuwa hivyo at least watu wangeweza kuwa na hope kuwa pengine Serikali ingeweza kuongeza nguvu ili kutatua tatizo.
Kuhamisha Walimu sidhani ni concrete solution.
Unadhan mwanasiasa atahamishia lawama kwa nani wakat mwanafunz ameshamaliza?