Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Hananasif si ipo kinondoni?
mmmmmmmmmm Balaaa..Wakati yule mtoto wa kule uganda akiendelea na matibabu ,ukatili mwingine unaendelea hapa hapa kwetu ambao madhara yake ni makubwa zaidi.
Gaazeti la mtanzania limeripoti kua watoto 190 wamelawitiwa huko hananasiff( hope ni huko dar)
Invisible msaada wa kuipachika hiyo habari hapa inawezekana.
Hii mada iachwe hapa hapa ili wazazi wajadili" ni kwa jinsi gani watoto wapo salama pale wanapokuwa mbali nao"
hii ni hatari sana. hao wafiraji wote wakamatwe na kunyongwa.
Kinondoni mkwajuni hii shule ndipo ilipo ila habari hizi sina inawezekana ikawa udaku
.....Waliowafanya mchezo huo wasije wakawa wale Askari waliowafanya wale Masheikh wa Zanzibar kule jela.hii ni hatari sana. hao wote wakamatwe na kunyongwa.
mbaya sana kama ni kweli...itakuwaje yaan miaka ijayo...hili ni tatizo kubwa kwa sasa katika jamii yetu....
Ngoja nitafute soft copy ya hiyo habarimmh 190 siamini
Wakati yule mtoto wa kule uganda akiendelea na matibabu ,ukatili mwingine unaendelea hapa hapa kwetu ambao madhara yake ni makubwa zaidi.
Gaazeti la mtanzania limeripoti kua watoto 190 wamelawitiwa huko hananasiff( hope ni huko dar)
Invisible msaada wa kuipachika hiyo habari hapa inawezekana.
Hii mada iachwe hapa hapa ili wazazi wajadili" ni kwa jinsi gani watoto wapo salama pale wanapokuwa mbali nao"
nimezisikia hizi habari ktk uchambuzi wa magzeti asubuhi...
so sad tunaharibu nguvu kazi ya taifa la kesho...
wazazi yatupasa kuwa makini na watoto..
tuwafatilie kwa karibu, kujua mabadiliko ya tabia..
if possible kuwafanyia medical chek up fro time to time..
Kinondoni mkwajuni hii shule ndipo ilipo ila habari hizi sina inawezekana ikawa udaku
....je inamilikiwa na taasisi gani hii skuli ?