Wanafunzi 190 walawitiwa Hanassif

Wanafunzi 190 walawitiwa Hanassif

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,038
Reaction score
13,465
Wakati yule mtoto wa kule uganda akiendelea na matibabu ,ukatili mwingine unaendelea hapa hapa kwetu ambao madhara yake ni makubwa zaidi.

Gaazeti la mtanzania limeripoti kua watoto 190 wamelawitiwa huko hananasiff( hope ni huko dar)

Hii mada iachwe hapa hapa ili wazazi wajadili" ni kwa jinsi gani watoto wapo salama pale wanapokuwa mbali nao"

20141125_134818.jpg
 
Wakati yule mtoto wa kule uganda akiendelea na matibabu ,ukatili mwingine unaendelea hapa hapa kwetu ambao madhara yake ni makubwa zaidi.

Gaazeti la mtanzania limeripoti kua watoto 190 wamelawitiwa huko hananasiff( hope ni huko dar)

Invisible msaada wa kuipachika hiyo habari hapa inawezekana.

Hii mada iachwe hapa hapa ili wazazi wajadili" ni kwa jinsi gani watoto wapo salama pale wanapokuwa mbali nao"
mmmmmmmmmm Balaaa..
 
tpaul

Kuna hatari ya HIV hapo,kuna watakaoendelea na huo mchezo pia. Watoto wamekuwa hatarini mno.
 
Last edited by a moderator:
Kinondoni mkwajuni hii shule ndipo ilipo ila habari hizi sina inawezekana ikawa udaku
 
mbaya sana kama ni kweli...itakuwaje yaan miaka ijayo...hili ni tatizo kubwa kwa sasa katika jamii yetu....
 
nimezisikia hizi habari ktk uchambuzi wa magzeti asubuhi...

so sad tunaharibu nguvu kazi ya taifa la kesho...

wazazi yatupasa kuwa makini na watoto..

tuwafatilie kwa karibu, kujua mabadiliko ya tabia..

if possible kuwafanyia medical chek up fro time to time..
 
Wakati yule mtoto wa kule uganda akiendelea na matibabu ,ukatili mwingine unaendelea hapa hapa kwetu ambao madhara yake ni makubwa zaidi.

Gaazeti la mtanzania limeripoti kua watoto 190 wamelawitiwa huko hananasiff( hope ni huko dar)

Invisible msaada wa kuipachika hiyo habari hapa inawezekana.

Hii mada iachwe hapa hapa ili wazazi wajadili" ni kwa jinsi gani watoto wapo salama pale wanapokuwa mbali nao"

Hii ndo front page.
 

Attachments

  • IMG_20141125_110238.jpg
    IMG_20141125_110238.jpg
    39.8 KB · Views: 651
Last edited by a moderator:
nimezisikia hizi habari ktk uchambuzi wa magzeti asubuhi...

so sad tunaharibu nguvu kazi ya taifa la kesho...

wazazi yatupasa kuwa makini na watoto..

tuwafatilie kwa karibu, kujua mabadiliko ya tabia..

if possible kuwafanyia medical chek up fro time to time..

Na ya kimwili pia
 
Back
Top Bottom