Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,010
Wakati yule mtoto wa kule uganda akiendelea na matibabu ,ukatili mwingine unaendelea hapa hapa kwetu ambao madhara yake ni makubwa zaidi.
Gaazeti la mtanzania limeripoti kua watoto 190 wamelawitiwa huko hananasiff( hope ni huko dar)
Hii mada iachwe hapa hapa ili wazazi wajadili" ni kwa jinsi gani watoto wapo salama pale wanapokuwa mbali nao"
Gaazeti la mtanzania limeripoti kua watoto 190 wamelawitiwa huko hananasiff( hope ni huko dar)
Hii mada iachwe hapa hapa ili wazazi wajadili" ni kwa jinsi gani watoto wapo salama pale wanapokuwa mbali nao"