Wanafunzi 190 walawitiwa Hanassif

unashangaa, kuna kuna mwl mmoja aliharibu zaid ya watoto sitini mwezi uliopita na wazazi wamemusamehe kwa sasa ameamishwa

iyo nayo wapi hayo makosa si unashitakiwa na jamhuri ina maana hata police hawakua na taharifa ili wamshughulikie ? Makosa kama haya hata ukae miaka kumi kwa wenzetu walioendelea unashitakiwa.
 
Back
Top Bottom