donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,519
Ni hatari wanafunzi 190 kuliwa kiboga.
hahaha, mkuu mada serious af umejibu kimapuuza
Ni hatari wanafunzi 190 kuliwa kiboga.
hahahaKuna mtu ame-hack account hii ya FF.
Hananasif si ipo kinondoni?
unashangaa, kuna kuna mwl mmoja aliharibu zaid ya watoto sitini mwezi uliopita na wazazi wamemusamehe kwa sasa ameamishwa