Wanafunzi 190 walawitiwa Hanassif

Deo Corleone

JF-Expert Member
Jun 29, 2011
16,927
13,010
Wakati yule mtoto wa kule uganda akiendelea na matibabu ,ukatili mwingine unaendelea hapa hapa kwetu ambao madhara yake ni makubwa zaidi.

Gaazeti la mtanzania limeripoti kua watoto 190 wamelawitiwa huko hananasiff( hope ni huko dar)

Hii mada iachwe hapa hapa ili wazazi wajadili" ni kwa jinsi gani watoto wapo salama pale wanapokuwa mbali nao"

20141125_134818.jpg
 
Wakati yule mtoto wa kule uganda akiendelea na matibabu ,ukatili mwingine unaendelea hapa hapa kwetu ambao madhara yake ni makubwa zaidi.

Gaazeti la mtanzania limeripoti kua watoto 190 wamelawitiwa huko hananasiff( hope ni huko dar)

Invisible msaada wa kuipachika hiyo habari hapa inawezekana.

Hii mada iachwe hapa hapa ili wazazi wajadili" ni kwa jinsi gani watoto wapo salama pale wanapokuwa mbali nao"
mmmmmmmmmm Balaaa..
 
nimezisikia hizi habari ktk uchambuzi wa magzeti asubuhi...

so sad tunaharibu nguvu kazi ya taifa la kesho...

wazazi yatupasa kuwa makini na watoto..

tuwafatilie kwa karibu, kujua mabadiliko ya tabia..

if possible kuwafanyia medical chek up fro time to time..
 
Wakati yule mtoto wa kule uganda akiendelea na matibabu ,ukatili mwingine unaendelea hapa hapa kwetu ambao madhara yake ni makubwa zaidi.

Gaazeti la mtanzania limeripoti kua watoto 190 wamelawitiwa huko hananasiff( hope ni huko dar)

Invisible msaada wa kuipachika hiyo habari hapa inawezekana.

Hii mada iachwe hapa hapa ili wazazi wajadili" ni kwa jinsi gani watoto wapo salama pale wanapokuwa mbali nao"

Hii ndo front page.
 

Attachments

  • IMG_20141125_110238.jpg
    IMG_20141125_110238.jpg
    39.8 KB · Views: 642
Last edited by a moderator:
nimezisikia hizi habari ktk uchambuzi wa magzeti asubuhi...

so sad tunaharibu nguvu kazi ya taifa la kesho...

wazazi yatupasa kuwa makini na watoto..

tuwafatilie kwa karibu, kujua mabadiliko ya tabia..

if possible kuwafanyia medical chek up fro time to time..

Na ya kimwili pia
 
Back
Top Bottom