Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Wote wanasifa zifuatazo:
Mwanaume/dume kusababisha mimba/mtoto
Wote hutamani kingono
wote wana wivu wa kimapenzi
wote huandaa ujio wa watoto
wote hulea watoto wao ( hutafuta rizki, hulinda kwa kushirikiana)
Licha ya yote haya, kwanini wanyama hawana maisha ya kindoa?
Kwanini binadamu kaumbiwa maisha ya kindoa?
Nifahamisheni
Mwanaume/dume kusababisha mimba/mtoto
Wote hutamani kingono
wote wana wivu wa kimapenzi
wote huandaa ujio wa watoto
wote hulea watoto wao ( hutafuta rizki, hulinda kwa kushirikiana)
Licha ya yote haya, kwanini wanyama hawana maisha ya kindoa?
Kwanini binadamu kaumbiwa maisha ya kindoa?
Nifahamisheni