Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwa taarifa yako PakaJimmy hana ubavu wa kurudisha kilo zangu mbili, manake nimemlipia mpaka my Lily Flower
Ujue hata mimi kanilipia, basi tu sitaki kukwambia
Ujue hata mimi kanilipia, basi tu sitaki kukwambia
Walisema avumae chit chat kwa kuwapanga ni [MENTION=80055]Madame B[/MENTION] ila hawakujua kama na sweetlady yumo, hapo mume halali nitonye hujamtaja na hawara wako wa viwango Mr Rocky bado, kuanzia leo inabidi Asprin ukifanya ukaguzi uwe unatuletea feedback hapa ili tujue wengine hizo K inu zao zimetengenezwa kwa material gani ati, mtu anawezaje kumudu mijibaba tisa na mikia yao bila shida
Hahahaha! Kwamba hujanilipia? PakaJimmy my lovely bro njoo unisaidie kuthibitisha kauli yangu.my Lily Flower huu ni uongo kabisa usimwamini, hata ukitaka ushahidi nauweka hadharan
Hahaha! Hawezi walah manake anantegemea sana tanga nkamfundishe kuogelea! Labda arudishe yako lol
Kumbe tanga kinawapeleka nini kama hamjui kuogelea?yayeda chini hakuna swimming puli kwahiyo hajui
Kumbe tanga kinawapeleka nini kama hamjui kuogelea?
Kumbe tanga kinawapeleka nini kama hamjui kuogelea?
Nimefanya uchunguzi wa kina nikagundua hili jukwaa la chit chat linapendwa sana na mafreemason. ukitaka kuamini angalia avator zao, hata mwandiko wao umekaa kifreemason mason. pm zao zimekaa kifreemason, mijadala yao imekaa kifreemason. hata wewe unayesoma hapa ni freemason. Siku nikipewa umoderator kuna watu sita na moderator mmoja watapakimbia na kwenda kujiunga na mitandao pendwa ya udaku tanzania.look very.mia