fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
Source: Raia Mwema page 3.
"taarifa zaidi zinaeleza kuwa vikao kadhaa rasmi vya chama hicho, vikiwamo vilivyohusisha baadhi ya makatibu makini wa mikoa na wilaya vimebainisha kuwa uongozi wa chama hicho ni mzigo katika kukikwamua chama na bila kusita, vimependekeza Makamba ang'oke."
"Sababu kadhaa zinatajwa kuhusu haja ya mabadiliko hayo, miongoni mwake ni kukidunga sindano ya uhai mpya chama hicho, ikizingatiwa mtokeo ya Uchaguzi Mkuu uliopita, kwa kuwa baadhi ya viongozi hawakutoa mchango wowote katika kusaidia ushindi wa chama hicho na badala yake walikua kwa matamshi yao na matendo wakisaidia kuporomosha umaaru wa chama hicho."
Wanaopendekezwa kumata wadhifa huo ni pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Urusi, Jaka Mwambi, Abdulrahaman Kinana,Steven Wassira, Chiligati na kama inawezekana kumrudisha Philip Mangula ambaye hakubaliani na mambo kadhaa katika uendashaji wa CCM ya sasa aliyomwachia Makamba
"taarifa zaidi zinaeleza kuwa vikao kadhaa rasmi vya chama hicho, vikiwamo vilivyohusisha baadhi ya makatibu makini wa mikoa na wilaya vimebainisha kuwa uongozi wa chama hicho ni mzigo katika kukikwamua chama na bila kusita, vimependekeza Makamba ang'oke."
"Sababu kadhaa zinatajwa kuhusu haja ya mabadiliko hayo, miongoni mwake ni kukidunga sindano ya uhai mpya chama hicho, ikizingatiwa mtokeo ya Uchaguzi Mkuu uliopita, kwa kuwa baadhi ya viongozi hawakutoa mchango wowote katika kusaidia ushindi wa chama hicho na badala yake walikua kwa matamshi yao na matendo wakisaidia kuporomosha umaaru wa chama hicho."
Wanaopendekezwa kumata wadhifa huo ni pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Urusi, Jaka Mwambi, Abdulrahaman Kinana,Steven Wassira, Chiligati na kama inawezekana kumrudisha Philip Mangula ambaye hakubaliani na mambo kadhaa katika uendashaji wa CCM ya sasa aliyomwachia Makamba