wanachama wa CCM wataka Makamba aondoke kukinusuru chama

fangfangjt

JF-Expert Member
Apr 25, 2008
571
139
Source: Raia Mwema page 3.
"taarifa zaidi zinaeleza kuwa vikao kadhaa rasmi vya chama hicho, vikiwamo vilivyohusisha baadhi ya makatibu makini wa mikoa na wilaya vimebainisha kuwa uongozi wa chama hicho ni mzigo katika kukikwamua chama na bila kusita, vimependekeza Makamba ang'oke."

"Sababu kadhaa zinatajwa kuhusu haja ya mabadiliko hayo, miongoni mwake ni kukidunga sindano ya uhai mpya chama hicho, ikizingatiwa mtokeo ya Uchaguzi Mkuu uliopita, kwa kuwa baadhi ya viongozi hawakutoa mchango wowote katika kusaidia ushindi wa chama hicho na badala yake walikua kwa matamshi yao na matendo wakisaidia kuporomosha umaaru wa chama hicho."

Wanaopendekezwa kumata wadhifa huo ni pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Urusi, Jaka Mwambi, Abdulrahaman Kinana,Steven Wassira, Chiligati na kama inawezekana kumrudisha Philip Mangula ambaye hakubaliani na mambo kadhaa katika uendashaji wa CCM ya sasa aliyomwachia Makamba
 
Jaka mwambi labda..lakini kwa jinsi Mangula alivyokuwa firm kumpinga JK kwenye mbio za urais 2005 hawezi kufanya naye kazi ofisi moja hata iweje
 
Source: Raia Mwema page 3.
"taarifa zaidi zinaeleza kuwa vikao kadhaa rasmi vya chama hicho, vikiwamo vilivyohusisha baadhi ya makatibu makini wa mikoa na wilaya vimebainisha kuwa uongozi wa chama hicho ni mzigo katika kukikwamua chama na bila kusita, vimependekeza Makamba ang'oke."

"Sababu kadhaa zinatajwa kuhusu haja ya mabadiliko hayo, miongoni mwake ni kukidunga sindano ya uhai mpya chama hicho, ikizingatiwa mtokeo ya Uchaguzi Mkuu uliopita, kwa kuwa baadhi ya viongozi hawakutoa mchango wowote katika kusaidia ushindi wa chama hicho na badala yake walikua kwa matamshi yao na matendo wakisaidia kuporomosha umaaru wa chama hicho."

Wanaopendekezwa kumata wadhifa huo ni pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Urusi, Jaka Mwambi, Abdulrahaman Kinana,Steven Wassira, Chiligati na kama inawezekana kumrudisha Philip Mangula ambaye hakubaliani na mambo kadhaa katika uendashaji wa CCM ya sasa aliyomwachia Makamba

wavunje chama tu,,,ili wafanye mapinduze ndani ya chama kama wanavyojiita "chama cha mapinduzi" la sivyo mwisho wao umefika!!!1
 
Tatizoo sio kupata katibu mkuu wa chama,shida ipo kupata mtu wa aina ya kuweza kufanya kazi na Mkitii.....makamba wanaiva vema sana na mkiti..
 
CCM wanatakiwa wafahamu kuwa hawatoweza kuitawala hii nchi milele.
wakubaliane na mwisho wao ndio huu na wameyataka wenyewe.
 
Source: Raia Mwema page 3.
"taarifa zaidi zinaeleza kuwa vikao kadhaa rasmi vya chama hicho, vikiwamo vilivyohusisha baadhi ya makatibu makini wa mikoa na wilaya vimebainisha kuwa uongozi wa chama hicho ni mzigo katika kukikwamua chama na bila kusita, vimependekeza Makamba ang'oke."

"Sababu kadhaa zinatajwa kuhusu haja ya mabadiliko hayo, miongoni mwake ni kukidunga sindano ya uhai mpya chama hicho, ikizingatiwa mtokeo ya Uchaguzi Mkuu uliopita, kwa kuwa baadhi ya viongozi hawakutoa mchango wowote katika kusaidia ushindi wa chama hicho na badala yake walikua kwa matamshi yao na matendo wakisaidia kuporomosha umaaru wa chama hicho."

Wanaopendekezwa kumata wadhifa huo ni pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Urusi, Jaka Mwambi, Abdulrahaman Kinana,Steven Wassira, Chiligati na kama inawezekana kumrudisha Philip Mangula ambaye hakubaliani na mambo kadhaa katika uendashaji wa CCM ya sasa aliyomwachia Makamba

Maamuzi ya chama yanafanywa na vikao, bahati mbaya sana katibu si mwenyekiti wa vikao. Naamini matamshi ya Katibu Mkuu si maamuzi binafsi bali ni sehemu ya utekelezaji wa maamuzi ya vikao halali vya Chama. Kukinusuru chama cha Mapinduzi inatakiwa Kamati Kuu yote ing'olewe na waingie Wanachama wenye uzalendo wa kweli bila kuangalia uwezo wao wa kifedha
 
Hilo lichama lijifie tu. Lishakuwa kama ugonjwa wa saratani iliyofikia ngazi ya nne, ambayo haina njia nyingine ila kuondoka na uhai tu!
 
Back
Top Bottom