Vipi na wale waliopiga kura ya NDIO uwapongezi kwa kutumia haki yao vema!?Nawapongeza wanachama 16, wa CCM waliopiga kura ya HAPANA,kwa JK wameonyesha ukomavu wa kisiasa, hiyo ndio demokrasia.
Demokrasia ya style hii imebana kidogo, ingekuwa kama ya Z'bar, yaani wagombea zaidi ya mmoja hao ndani ya 99.16% wangempa mtu mwingine! Kwani kwa Z'bar Sheni amepita kwa karibu 54%!!! Hii ya kuwa mgombea peke yake yawezekana ni mbinu ya kuwaadaa watanzania wafuata upepo ili wafikiri kuwa JK ni muhimu sana na anakubalika sana hivyo wamchague!
Bila shaka na mtoto wa mkulima na EL wamo ndaniNingekuwa mwana CCM nikawa katika kundi hilo lililokuwa Dodoma idadi ingekuwa 17. Jamaa tunawahitaji maana hawakukubali kuimbishwa mapambio wakaangalia performance ya candidate. Safi sana japo ni wachache sana. Unaweza kukuta yumo Shein, Bilal na Nahodha pia humu
lakini mkuu si umeona wana CCM wenyewe wanamkubali, lati ya 2000 ni 6 tu ndio wana mkataa,Jk kwa ujumla hakubaliki
Listi ya hao wanachama 16 hii hapa....
1. Edward Ngoyai Lowassa
2.
3.
4.
5.