Udugu, umoja na mshikamano havipo tena ndani ya chama. Chama kimejaa fitina giliba na na uzandiki. Tumekiuka miiko ya chama "Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko". Hivi sasa kinacho hubiriwa tofauti na kile kinachotendeka. Nitawapa mifano mitatu ktk jambo hili.
1. Hivi kwann Mwandosya na Membe watengwe na ccm hadi kufikia wakalalamika? Walifanya kosa gani?
2. Hivi wake wa wabunge wetu maarufu ambao sasa ni narehemu: John Komba na Deo Filikunjombe kwann wanatelekezwa hadi kufikia wanalalamika?
3. Iweje mzee Yusufu Makamba, ingali bado you hai amesahauliwa na chama ktk kipindi hiki ambacho anaumwa?.
Udugu, upendo, umoja na uthabiti wa maneno yetu viko wapi?
Ndani ya chama kwa sasa hakuna demokrasia wala uhuru wa kutoa maoni. Nafasi za kugombea kupitia chama hiki sasa zinategemea maamuzi ya MTU na siyo sifa ya mgombea wala maamuzi ya vikao. Tumeyaona haya ktk chaguzi zote ndogo zilizofanyika ktk majimbo matano; Longido, Singida mashariki, Siha na Kinondoni.
Michakato ya kuwapata wagombea ktk majimbo haya haikuwa huru na ya haki na haikufuata taratibu zilizoainishwa ktk kanuni wala katiba ya chama.
Lkn pia hata ktk uchaguzi wa wabunge wa EALA, tulimsikia na tunaendelea kumsikia maanamama shupavu Shyrose Bhanji jinsi jina lake lilivyokatwa kibabe.
Vikao vya chama vimeondolewa (japo midomoni tunasema vimepunguzwa) na uwakilishi umeminywa sana ( idadi ya wajumbe wa vikao kupunguzwa kwa zaidi ya robo tatu).
Wanaccm hatuoni fahari tena na chama chetu, tunaumia ndani kwa ndani. Mm na wenzangu tuliokuwa makatibu wa wilaya tukaondoshwa kinyemela tumeamua kuwaamsha wanaccm. Tunaamini wanaccm mtatuunga mkono.
Kumbukeni nyoka akiingia ndani dawa siyo kuikimbia nyumba bali kumuua nyoka. Kama ANC na ZANU- PF wameweza kwann ccm tusiweze?
Kidumu Chama Cha Mapinduzi
1. Hivi kwann Mwandosya na Membe watengwe na ccm hadi kufikia wakalalamika? Walifanya kosa gani?
2. Hivi wake wa wabunge wetu maarufu ambao sasa ni narehemu: John Komba na Deo Filikunjombe kwann wanatelekezwa hadi kufikia wanalalamika?
3. Iweje mzee Yusufu Makamba, ingali bado you hai amesahauliwa na chama ktk kipindi hiki ambacho anaumwa?.
Udugu, upendo, umoja na uthabiti wa maneno yetu viko wapi?
Ndani ya chama kwa sasa hakuna demokrasia wala uhuru wa kutoa maoni. Nafasi za kugombea kupitia chama hiki sasa zinategemea maamuzi ya MTU na siyo sifa ya mgombea wala maamuzi ya vikao. Tumeyaona haya ktk chaguzi zote ndogo zilizofanyika ktk majimbo matano; Longido, Singida mashariki, Siha na Kinondoni.
Michakato ya kuwapata wagombea ktk majimbo haya haikuwa huru na ya haki na haikufuata taratibu zilizoainishwa ktk kanuni wala katiba ya chama.
Lkn pia hata ktk uchaguzi wa wabunge wa EALA, tulimsikia na tunaendelea kumsikia maanamama shupavu Shyrose Bhanji jinsi jina lake lilivyokatwa kibabe.
Vikao vya chama vimeondolewa (japo midomoni tunasema vimepunguzwa) na uwakilishi umeminywa sana ( idadi ya wajumbe wa vikao kupunguzwa kwa zaidi ya robo tatu).
Wanaccm hatuoni fahari tena na chama chetu, tunaumia ndani kwa ndani. Mm na wenzangu tuliokuwa makatibu wa wilaya tukaondoshwa kinyemela tumeamua kuwaamsha wanaccm. Tunaamini wanaccm mtatuunga mkono.
Kumbukeni nyoka akiingia ndani dawa siyo kuikimbia nyumba bali kumuua nyoka. Kama ANC na ZANU- PF wameweza kwann ccm tusiweze?
Kidumu Chama Cha Mapinduzi