Mwenye kumbukumbu ya Makonda akishirikishwa kwenye mdahalo hata ndani ya chama chake atuwekea hapa tuone capacity yake

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Sijawahi kumwona Makonda akifanya mjadala wala mdahalo wowote wenye tija na usio na tija kuhusu chama chake na nchi kwa ujumla.

Leo anapoomba mdahalo anataka kutuambia ametambua umuhimu wa majadiliano ya hoja? Toka lini akawa na kifua au nafsi yamajadiliano? Je, katika majadiliano hayo atajadiliana na nani wakati hata vyombo vya habari hataki viripoti kitu asichopenda?

Lakini ana IQ yakujadiliana na hao aliowatajka wajadiliane nao. Kama viongozi wenzake tu ndani ya chama ameshindwa kujadiliana nao ataweza nje ya chama?

Amezungumza, hakuna kiongozi yeyote wa chama aliyepost alivyozungumza labda kama watapost baada ya uzi huu. Je, haoni kwamba hata aliowanyanyasa kwa madaraka ndani ya CCM wamechoka?

Kwanza kwa mgomo uliopo ndani ya CCM dhidi yake atatoboa kumaliza huu mwaka bila kutumbuliwa? Zama zinabadilika, alivyowapigia simu wabunge na mawaziri aliamini akiwadhalilisha ikiwemo hata waziri Mkuu ndo atafika anapokwenda kumbe wenzake wamechoka kubemendwa kwa kudhalilishwa majukwaani.

Mwenezi wa chama unamwamrisha waziri Mkuu tena kwenye adhara, unawapigia simu mawaziri kama watoto wadogo , unawajibu hovyo wanasiasa wenzako ili Mradi tu wananchi wawaone hawafai....icho chama utajenga na nani kama unaona kila kiongozi hana akili?


Hakuna chuo wala shule yakufundisha BUSARA.....BUSARA UNAZALIWA NAZO NA UKIZIKOSA USITEGEMEE KUFANIKIWA KATIKA DUNIA HII. UTAPANDA KWA KASI LAKINI UTASHUKA KWA FEDHEA TU.
 
Sijawahi kumwona Makonda akifanya mjadala wala mdahalo wowote wenye tija na usio na tija kuhusu chama chake na nchi kwa ujumla.

Leo anapoomba mdahalo anataka
Mmeondolewa kwenye hoja ya maandamano mmepelekwa kwenye hoja mfu ya mdahalo.
Mna safari ndefu sana
 
Mmeondolewa kwenye hoja ya maandamano mmepelekwa kwenye hoja mfu ya mdahalo.
Mna safari ndefu sana
Tukiondoka inakuuma nini? Wewe simamia unachoamini ikiwemo kujadili hoja siyo kufukuza fikra za wakubwa zako
 
Hajawahi kufanya mdahalo hata na mkewe.

Anachojua huyu ni kupora, kuteka na kuua watu tu.
 
Umeingia kwenye mfumo tayari. Kazi ya makonda ni kuhamisha hoja kama hivi. Ungempuuza na kubaki kwenye mikakati yenu ya msingi, kwa jinsi kutoboa no ngimu
 
Sijawahi kumwona Makonda akifanya mjadala wala mdahalo wowote wenye tija na usio na tija kuhusu chama chake na nchi kwa ujumla.

Leo anapoomba mdahalo anataka kutuambia ametambua umuhimu wa majadiliano ya hoja? Toka lini akawa na kifua au nafsi yamajadiliano? Je, katika majadiliano hayo atajadiliana na nani wakati hata vyombo vya habari hataki viripoti kitu asichopenda?

Lakini ana IQ yakujadiliana na hao aliowatajka wajadiliane nao. Kama viongozi wenzake tu ndani ya chama ameshindwa kujadiliana nao ataweza nje ya chama?

Amezungumza, hakuna kiongozi yeyote wa chama aliyepost alivyozungumza labda kama watapost baada ya uzi huu. Je, haoni kwamba hata aliowanyanyasa kwa madaraka ndani ya CCM wamechoka?

Kwanza kwa mgomo uliopo ndani ya CCM dhidi yake atatoboa kumaliza huu mwaka bila kutumbuliwa? Zama zinabadilika, alivyowapigia simu wabunge na mawaziri aliamini akiwadhalilisha ikiwemo hata waziri Mkuu ndo atafika anapokwenda kumbe wenzake wamechoka kubemendwa kwa kudhalilishwa majukwaani.

Mwenezi wa chama unamwamrisha waziri Mkuu tena kwenye adhara, unawapigia simu mawaziri kama watoto wadogo , unawajibu hovyo wanasiasa wenzako ili Mradi tu wananchi wawaone hawafai....icho chama utajenga na nani kama unaona kila kiongozi hana akili?


Hakuna chuo wala shule yakufundisha BUSARA.....BUSARA UNAZALIWA NAZO NA UKIZIKOSA USITEGEMEE KUFANIKIWA KATIKA DUNIA HII. UTAPANDA KWA KASI LAKINI UTASHUKA KWA FEDHEA TU.
MDAHALO UTANGULIWE NA UTHIBITISHO HALALI WA VYETI VYA KILA MSHIRIKI

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi kumwona Makonda akifanya mjadala wala mdahalo wowote wenye tija na usio na tija kuhusu chama chake na nchi kwa ujumla.

Leo anapoomba mdahalo anataka kutuambia ametambua umuhimu wa majadiliano ya hoja? Toka lini akawa na kifua au nafsi yamajadiliano? Je, katika majadiliano hayo atajadiliana na nani wakati hata vyombo vya habari hataki viripoti kitu asichopenda?

Lakini ana IQ yakujadiliana na hao aliowatajka wajadiliane nao. Kama viongozi wenzake tu ndani ya chama ameshindwa kujadiliana nao ataweza nje ya chama?

Amezungumza, hakuna kiongozi yeyote wa chama aliyepost alivyozungumza labda kama watapost baada ya uzi huu. Je, haoni kwamba hata aliowanyanyasa kwa madaraka ndani ya CCM wamechoka?

Kwanza kwa mgomo uliopo ndani ya CCM dhidi yake atatoboa kumaliza huu mwaka bila kutumbuliwa? Zama zinabadilika, alivyowapigia simu wabunge na mawaziri aliamini akiwadhalilisha ikiwemo hata waziri Mkuu ndo atafika anapokwenda kumbe wenzake wamechoka kubemendwa kwa kudhalilishwa majukwaani.

Mwenezi wa chama unamwamrisha waziri Mkuu tena kwenye adhara, unawapigia simu mawaziri kama watoto wadogo , unawajibu hovyo wanasiasa wenzako ili Mradi tu wananchi wawaone hawafai....icho chama utajenga na nani kama unaona kila kiongozi hana akili?


Hakuna chuo wala shule yakufundisha BUSARA.....BUSARA UNAZALIWA NAZO NA UKIZIKOSA USITEGEMEE KUFANIKIWA KATIKA DUNIA HII. UTAPANDA KWA KASI LAKINI UTASHUKA KWA FEDHEA TU.
Alishiriki mdahalo wa katiba mpya Diamond Jubilee akaishia kumpiga makofi Mzee Warioba.
 
Back
Top Bottom