Wana MMU tumchangie mwenzetu ajenge CHOO

Wana MMU tumchangie mwenzetu ajenge CHOO

ukiamka na ukalala salama yapasa kumshukuru Mungu sana. Dah! Pole ya huyo bidada
 
bestito nami naomba udhuru kwa jambo hili sitoweza kulifanya kutokana nimebanwa sana hivyo jaribu kumtafuta mwingine humu mjengoni
Ningelisimamia vizuri kabisa zoezi hili, ila ni kwamba leo usiku nasafiri, narudi kazini kwangu Southern Sudan, na nitakuwepo kwa siku 35 ndipo nirudi tena home
 
Wekeni Mambo sawa tuchange, mdada huyu akufanya kazi ya ukahaba. Aliamua kujituma kwa kutumia sanaa pengine leo angekuwa mbali. Tunaweza mfanyia makubwa, siyo tu choo hata hiyo nyumba yake tutaweza ibadilisha. Wana JF tupo wengi. Wale wote wanao sifia Bar kumi zinazojaza Dar, njooni tuungane sote kwa pamoja japo kila moja asinunue bia tatu tumsaidie mwenzetu.
 
Dah! Aisee! kuna watu wanateseka jaman loh!Mungu amtangulie!!
 
Kuweni serious basi kama kuna taratibu tujuzeni mapema hata huku Kiembe samaki ZNZ kuna Tigo Pesa na Airtel Money HAKATWI MTU HAPA......
 
sasa baba wewe ukijitoa itakuwaje? wakati mwanao nakutegemea wewe

Jamani hizi opportunity msiziache, umechaguliwa kufanya jukumu fulani we fanya. Bila kupoteza muda tuma namba yako tukutumie pesa huyu mama ajengewe choo.
 
Nipo tayari kwa mchango,inasikitisha sana
 
bestito ningefanya hivyo ila nimeomba udhuru labda tumwambie kiongozi wetu au founder wa jf Invisible afanye jukumu hili kwani yeye ataliweza kulifanya kwa usahihi kabisa.
Jamani hizi opportunity msiziache, umechaguliwa kufanya jukumu fulani we fanya. Bila kupoteza muda tuma namba yako tukutumie pesa huyu mama ajengewe choo.
 
Last edited by a moderator:
bestito ningefanya hivyo ila nimeomba udhuru labda tumwambie kiongozi wetu au founder wa jf Invisible afanye jukumu hili kwani yeye ataliweza kulifanya kwa usahihi kabisa.[/Q

Kwa hiyo unafanya zoezi zima life kwa sababu ya udhuru? kwa nini usitoe namba ziflow halafu ukimaliza mambo yako utukusanye tukamkabidhi mlengwa!
 
NGOJA NIONGEE NA MKUU Invisible YEYE ATOE GO AHEAD TUJUE LA KUFANYA
bestito ningefanya hivyo ila nimeomba udhuru labda tumwambie kiongozi wetu au founder wa jf Invisible afanye jukumu hili kwani yeye ataliweza kulifanya kwa usahihi kabisa.[/Q

Kwa hiyo unafanya zoezi zima life kwa sababu ya udhuru? kwa nini usitoe namba ziflow halafu ukimaliza mambo yako utukusanye tukamkabidhi mlengwa!
 
Last edited by a moderator:
Mamito calorine Danzi ngoja tuongee na viongozi wetu hasa Baba V au mkuu Paw kama itawezekana yeye wao watajua namna ya kufanya kwani mm ni mtu mdogo sana humu mjengoni, na nimeshatoa udhuru kwa jambo hillo
ila niko pamoja nanyi naomba unielewe bestito
 
Last edited by a moderator:
ingekuwa ni vyema kupajua anapoishi huyo mdada ingekuwa vizuri
hivyo naomba mnitajie anapoishi kwa Tanzania

Kweli kabisa, kisha mkishapaona ifanyike tathmini ya vitu vinavyohitajika ili kukamilisha mchakato huo na baada ya hapo kiasi gani kinatakiwa......wenye moyo na watakaojaaliwa uwezo wa kuchangia wachangie. Japo watu8 ameomba udhuru, napendekeza ashiriki hata remotely kwenye huu mchakato!
 
Last edited by a moderator:
kama itakuwa ni sehemu ambayo ni mbali na mm itakuwa ngumu kutekeleza jukumu hilo ila tungemwomba kiongozi wa wa ndoa cc Baba V achukue usukani huu
Kweli kabisa, kisha mkishapaona ifanyike tathmini ya vitu vinavyohitajika ili kukamilisha mchakato huo na baada ya hapo kiasi gani kinatakiwa......wenye moyo na watakaojaaliwa uwezo wa kuchangia wachangie. Japo watu8 ameomba udhuru, napendekeza ashiriki hata remotely kwenye huu mchakato!
 
Last edited by a moderator:
mamito ngoja tuwaambie viongozi hapa jf (mafounder) nadhani wao wafanye jukumu hili itakuwa ni vyema zaidi na italeta userious wake, ngoja niwaite Paw, Invisible, @Moderate njooni huku
Jamani hizi opportunity msiziache, umechaguliwa kufanya jukumu fulani we fanya. Bila kupoteza muda tuma namba yako tukutumie pesa huyu mama ajengewe choo.
 
Last edited by a moderator:
kama itakuwa ni sehemu ambayo ni mbali na mm itakuwa ngumu kutekeleza jukumu hilo ila tungemwomba kiongozi wa wa ndoa cc Baba V achukue usukani huu

"Behold, I am the LORD, the GOD of all flesh; is there any thing too hard for me?
Jeremiah 32:27
 
watu 20,000/= mara 1,000 = 20,000,000/=
5,000,000/= Choo cha kisasa
10,000,000/= ujenzi bora wa nyumba yake
5,000,000/= Atafanya lolote litakalo faa kwa future ya maisha yake, baada ya wawakilishi kuona itafaa.
Hima hima Invisible
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom