Wana MMU pombe itaniachanisha na mpenzi

Wana MMU pombe itaniachanisha na mpenzi

There is forces behind ndo maana kila ukijaribu kuacha unashindwa!

Mi.kaka angu yaan ilifika point alikuwa akikosa hela anaenda hadi kwenye zile za kienyeji!
Bt today imebaki story!
Ameacha kabisa.

Mungu hashindwi

Km upo
 
Asee jitahd uache m mjomba wng aliendkeza hizo pombe mpk sasa tushazika zetu anakarbia kukata 2 yrs ...... bro jitahd xn uache nawe unakoelekea tutakupote....

unataka kuniambia kuwa asingekuwa anakunywa pombe angeishi milele?
Asingeonja mauti?
 
unataka kuniambia kuwa asingekuwa anakunywa pombe angeishi milele?
Asingeonja mauti?

Kwahyo we unazn qngekua hanywi angeharbika mapafu utumbo na mengn yalomkuta ..... wacha ujeuri ukizidisha n mby
 
Kuna jamaa hapa kitaa tumemalizia 40 yake juzi! Ndipo nikaamini kweli pombe inaua pombe mbaya bora uache tu ndugu

hizi kauli mm ndio huwa sikubaliani nazo.....

Kifo ni haki ya kila mwanadamu hvyo anywe pombe au asinywe kifo lazma kimpitie....

Baba yangu ni mnywaji wa pombe tena kali lakn mpaka sasa anaenda kufikisha 80 yrs na bado yupo active....
 
Kwahyo we unazn qngekua hanywi angeharbika mapafu utumbo na mengn yalomkuta ..... wacha ujeuri ukizidisha n mby

usiseme pombe imemuua bali sema mpango mbovu wa ratiba ya dayat, na kutokuwa makin kuchunguza afya yake ndio vmemuua
 
Hhhaa mashaaaalah nashukuru mume wangu hatumii kilevi chochotee kileee,safii hanuki sigara wala pombee yaan swaafiiiii

Pombe hainuki na pombe ninayo kunywa Mimi my dear siyo mataputapu it's certified so mshauri Mumeo ajaribu nafikiri hataacha
 
usiseme pombe imemuua bali sema mpango mbovu wa ratiba ya dayat, na kutokuwa makin kuchunguza afya yake ndio vmemuua

Ng'ang'ana sasa ... tn uwe unalalamo ndani ya chupa na mikopo ya hzo pombee
 
utaacha siku utakapojikuta umeangusha Gari na umeshaliwa koboga.......

Acha mambo kipumbavu grow up gari sijawahi kuangusha all my life toka form one na sijawahi kulewa to that extent
Shauri Kama unashari Kama huna pita Kule
 
Hahahah sicheki kwamba nmefurahi hapana ila ni kweli nitakumwaga...very soon(joking)

Jamani umefikia huku please usiniwache ntakuwa frustrated lol na kunywa the more
""I am thinking about somebody,that perfect somebody,sexy purple body,the road to her soul...."#singing
 
pombe ni adui wa maendeleo.

hyo sio kweli.
Uvivu na bajeti mbovu pamoja na kuwa na mipango isiyotimia ndio adui wa maendeleo..

Sidhan kama ukawa na ratba yako maalum namna ya kufanya mambo yako na ikifika jion walau hata kwa wiki mara mbili ukajipongeza na kapombe kako ukaamua kuteketeza hata elf 20 sijui ubaya wa pombe utatoka wapi!..

Adui wa maendeleo ni kuendekeza wanawake, kila ukiona mwanamke unataka umfunue babu hapo lazma pesa ikutoke.

Mm pombe kila j2 jion lazma nigonge hapo ndio kaz itaenda
 
Ng'ang'ana sasa ... tn uwe unalalamo ndani ya chupa na mikopo ya hzo pombee

ww dogoo acha mbwembwe kila kitu kinatakiwa kifanyike kwa wakat maalum na nafas maalum.

Usipozingatia mda na nafasi hata soda tu itakufanya uwe maskin.
 
ww dogoo acha mbwembwe kila kitu kinatakiwa kifanyike kwa wakat maalum na nafas maalum.

Usipozingatia mda na nafasi hata soda tu itakufanya uwe maskin.

😡😎:thumbup:
 
Wanaume wanaokunywa pombe wananuka jamaniii sio siriii yaan inapendeza muwe mnatumia wote ili mnukiane vizurii

Siyo kweli inategemea na pombe unayokunywa
Unafikiri wine inanuka,Jack Daniels and pombe zenye calibre hiyo zinanuka,acha ushamba
 
There is forces behind ndo maana kila ukijaribu kuacha unashindwa!

Mi.kaka angu yaan ilifika point alikuwa akikosa hela anaenda hadi kwenye zile za kienyeji!
Bt today imebaki story!
Ameacha kabisa.

Mungu hashindwi

Km upo

Good piece Mimi siyo drunkard duff na kunywa kawaida and I want to stop
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom