Ikiwa usmeshaona unataja kuacha na na ndani ya nafsi yako umeonelea n uko tayar bas n hatua kubwa sana punguza kidogo.kudogo kama ilikua ni kwa siku mara tatu bas fanya mara mbili ipunguze kisha utaona.umeweza.kabisa kuacha
Asante Mrs Aka mamafacebook kila siku unabadilika Kama kinyonga
Thanks for accepting my proposal kurudia jina Lako la awali
Nadhani unamfaa Mumeo
This is a psychological matter it's not a matter of just deciding that's why people go to rehab
Bangi usingemjibu
pombe ni adui wa maendeleo.
Hhhaa mashaaaalah nashukuru mume wangu hatumii kilevi chochotee kileee,safii hanuki sigara wala pombee yaan swaafiiiii
pombe ni adui wa maendeleo.
We subiri kifo tu...
Safi kabisa hili ni jambo jema!
nchi yako inategemea pombe, kukuletea maendeleo.