Replies
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,497
- 453
- Thread starter
- #21
kaka upo makini na una nia kweli ya kuacha? njoo pm ni lazma tuongee nimefanikiwa kuacha hiyo makitu mwaka wa pili now...but its not easy...inahitaji kujitolea kwa mengi sana Ikiwamo kutengana kugombana na watu wako wa karibu.
karibu pm.....
Thanks mkuu
Inaitaji Moyo sana nimekuwa nikijaribu for the last 2 years ila nakuwa nafail kila wakati