Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Kubishana na mlevi ni upumbavu.
Acha kelele wewe unaropoka tu humu
Acha kelele wewe unaropoka tu humu
Kumbe una mdomo eh
Kuna kituo Kigamboni kinasaifia watu wanaotaka kuachana na drugs plus pombe. Chukua likizo ili uweze kilitatua tatizo hili.
Frunky speaking sipendi mwanaume mlevi.
Frankly speaking !!! Just to put it correct
Ok mi siyo mlevi ni mnywaji that makes it all different
You don't have to like me either hut aongeza au Kupunguza nlichonacho na nsichokuwa nacho
Handle your business lady
Nadhani unamfaa Mumeo
Af we kama hujielewi? Umeleta hii thread ya nini? Mbona wanaokupa ushauri unawananga kisa nini?
Ushauri upi umenipa we mwanamke kwanza tuanzie hapo
Pili usiseme watu I am talking to yo lady
Don't be defensive kijinga kijinga tu na huna point ya msingi ya kuniambia
Handle your issues ulikuwa huna ulazima wa kujibebisha au kupita Kwa Uzi Huu nkt