Wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii. CHADEMA wana macho? Je, wawasamehe Wabunge 19 wabarikiwe, au wakomae nao walaaniwe?

Mkuu Drifter, honest and genuineness ya mtu inakaa ndani yake, ila pia ni kama ilivyo justice, must not only be done, but must be seen to be done!.

Ushauri honest and bonafide genuine must be seen with naked eyes.
Kama mtu anaye toa ushauri kama huu, unauona ni ushauri wa ki Yuda Eskariote na kuniulizia how many “pieces of silver”?, then naomba niheshimu mawazo yako kwasababu watu hatufanani, and we don't think the same!.

P

Bonafide Genuine. Umenikumbusha enzi za kesi ya Rwakatale na ile video yake.
 
Kwasasa nimeanza kupata wasiwasi kuwa hizi ni sarakasi tu za kuwazuga wanachama vichaa kama akina Boni, Mdude na Martin, ili kuvuta muda hadi 2025 ikabie. watasameheana kisha maisha ya hadaa yataendelea.

Maamuzi ya mahakama yako wazi, what needs to be done is clear, but Mnyika is bragging on the media about writing to Madam Speaker sijui to remind her to kick akina Mdee out. Isn’t that madness??

Hakuna sarakasi. Ni kiburi Cha spika wa bunge kuanzia ndugau na huyu kilaza wa Sasa hivi.
 
Kaka pascal,tunajuheshimu Sana Tena Sana.
Ila kwa Sasa hoja zako zina walakini.
Tayari wewe rangi yako inajulikana,Mara mia ungeendelea kujifanya uko neutral.
Mda mwingine usomi wenu inafikia kuonekana hopless kwa wengi waliokuwa na matumaini nanyi.
Kinachowaharibia kaka,ni uchawa,kujipendekeza,kuhitaji huruma kutoka kwa mwenyekiti WA CCM,Njaa,undumilakuwili,hamsimamii misimamo ya Haki🤔.
Ila kikubwa mnaangalia maslahi yenu Kwanza na sio maslahi ya Taifa.
Mpaka mda huu wewe,usiwe unatuletea mabandiko yahusuyo siasa kana kwamba wewe upo pembeni.

We jikite katika kujenga Chama chako na mabandiko yahusu chama chako kikongwe.
Mbona hujawahi tuletea bandiko lonalohusu Utawala WA CCM tangu uhuru mpaka Leo hii matatizo lukuki mpaka Nchi inakuwa maskini irihali Ina raslimali kedekede.
Kazi jusifiana kwa kutegemew teuzi.

Labda Kama kaka nimesahau,shusha Bandiko ulilowahi leta humu la kusisitiza Katiba mpya ipatikane iwe isiwe ikiwa na maana kuwa mwenendo WA kuongoza Nchi ya Sasa yenye wakazi millions 59+

Au ndo ile NYANI haoni kundule😳😳.
Tafadhaki kaka,watanzania WA Leo sio wale wa mwaka 1950.

Mnatukosea Sana wasomi WA Nchi hii mlio katika CCM.
Huu ndo ukweli,
Magufuri mlimsifu Sana,lakini mkasahau kuwa ni zao la Ccm.Tatizo la Nchi hii ni Katiba iliyopo haiendani na Ulimwengu wa Sasa.

CCM inaharibu Nchi hii kwa kukumbatia mfumo mbovu,wenye harufu ya kurithishana.
Usijaribu kushauri vyama vya siasa vikubwa Kama Chadema,ACT Wazalendo.kavishauri vile vya CCM B.

Uchaguzi WA 2020 Kuna chochote ulichokisema kweli,au ndo mabandiko ya kusifu na kuabudu😭.
Kaka X mas njema tu.
 
Mkuu, kama umemfuatilia Mayala kwa muda mrefu ni rahisi kujua target zake nim zipi. Hana chuki na Mbowe, na hata akitoka CHADEMA (Mbowe), bado (Mayala) ataendelea kuiattack CHADEMA chini ya kivuli cha kujifanya anaishauri.

Mayala anatafuta teuzi/cheo kule CCM, na baada ya kufeli kukubalika ndani ya chama chake, ameamua kuchagua namna mpya ya kujijenga. Amechagua kuiattack CHADEMA, na hao kina Mdee ni mtaji wake. Anguko la CHADEMA ni neema kwa CCM, inaleta mashaka kuona mwanaccm anaipa ushauri CHADEMA namna gani ifanye ili kuwa Imara. Mayala amekuwa too predictable siku hizi, haihitaji akili nyingi kufahamu bandiko lake lijalo atazungumzia nini.
Mayalla huyu ninayemfahamu mimi, mimi siku zote humtofautisha Paskali na Chadema na analijua hilo kupitia Posti zangu, bahati nzuru leo ndiyo mara yako ya kwanza kuniona.
 
Mkuu Drifter, honest and genuineness ya mtu inakaa ndani yake, ila pia ni kama ilivyo justice, must not only be done, but must be seen to be done!.

Ushauri honest and bonafide genuine must be seen with naked eyes.
Kama mtu anaye toa ushauri kama huu, unauona ni ushauri wa ki Yuda Eskariote na kuniulizia how many “pieces of silver”?, then naomba niheshimu mawazo yako kwasababu watu hatufanani, and we don't think the same!.

P
Paskali, nyie ni watu wawili na Chadema ni zaidi ya nyie watu wawili ni taasisi hivyo sijui mtatumia miujiza gani kuiangisha! Pamoja na kazi na jasho hulipa lakini kwa hili nasema hapana, angalia Post zako tangu 2013 labda na nyuma umekuwa ukisema Chadema imekufa in wishes lakini machoni Chadema ipo na ni ileile, ila najiuliza mathlani leo ikifa furaha yenu ni kuona wafuasi wake wamekosa haki yao ya kupenda wakipendacho? Ni wachawi tu watafurahia hilo.
 
Wanabodi

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za kwa maslahi ya taifa, Chadema ni chama cha Kitaifa hivyo haya yanayoendelea ndani ya Chadema katika huu mgogoro wake na wabunge wake 19 wa viti maalum, una athari za Kitaifa zenye maslahi kwa taifa. Hoja yangu ya leo ni hii ,"kuna watu wana macho lakini hawaoni!, na wana masikio lakini hawasikii!". Swali ni je Chadema wana macho na yanaona?. Je wana masikio na yanasikia?. Kwenye hili la Wabunge 19, je Chadema wawasamehe wabarikiwe, au waendelee kukomaa nao mpaka kieleweke hata kama ni kulaaniwa?.

Naomba kukiri kupandisha bandiko hili, kwa inspirational kutoka andiko la Kaka yangu/mdogo wangu na bosi wangu kule TEF, Deodatus Balile.

Balile ameandika bandiko hili akiwa safarini jijini New Delhi nchni India.
C&P ya Balile

Mwisho wa kunukuu

Chief @⁨Balile⁩ , nikiwa New Delhi nilijifunza imani ya Hinduism kuhusu kitu kinachoitwa karma, hivyo ushauri wako kwa Chadema, utawaepushia Chadema karma ya mambo
mabaya waliowatenda hawa wadada 19 ambao mimi nawaita ni mashujaa, hivyo huu ni ushauri mzuri, wa hekima na busara sana kwa Chadema wenye maslahi kwa Chadema na maslahi kwa taifa only if Chadema wana macho ya kuona na wanaona, na wana masikio ya kusikia na wanasikia, kwasababu kuna watu wana macho lakini hawaoni, na wana masikio lakini hawasikii.

Wakati Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe anakabiliwa na kesi ya ugaidi, nilipandisha makala mfufulizo za Kilio cha Haki, nikiangazia haki jinai.
Kwenye sala yetu ya Baba Yetu, kuna mstari "Utusamehe makosa yetu kama tunavyowasamehe waliotukosea" hivyo tulimpongeza rais Samia kwa kauli hii baada ya Freeman Mbowe kuombewa msamaha
Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Baada tuu ya bandiko hili, haukupita muda hatimaye Freeman Mbowe alisamehewa na kesi ya Mbowe ilifutwa!,

Sisi wa kupongeza tukapongeza
Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Sasa kuna ugumu gani Chadema kuwasamehe hawa wabunge wake 19?.

Hili sakata la wabunge hawa toka lilipoanza, mimi nimekuwa very open, objective and very transparent
Na nikashauri Chadema



Katika Salaam zangu kwa mwaka mpya, Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote

Japo kwa jicho la juu juu, hao 19, wanaonekana kama wameshinda kesi yao mahakamani but in reality ni wameshindwa na hili nililisema The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia! kwasababu katiba ya Chadema ina kipengele kilicho kinyume cha katiba, mwanachama wa Chadema akifungua shauri lolote mahakani, akishindwa kesi ni amejifukuzisha, hivyo Mahakama tayari imeishabariki kufukuzwa kwao, salama yao ni kusamehewa tuu!.

Kwa vile mimi namfahamu Freeman Mbowe kuliko Chadema wengi, Mbowe ni muungwana, Mbowe ni mtu wa shukrani, na baada ya kikao cha CC kuwatimua, Freeman Mbowe aliingia huruma na kufukuzwa kwao, akawasamehe, akawaita Nairobi, akawasamehe, akawashauri waombe msamaha, ili wayamalize, wakamgomea!.

It's high time Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Aikael Mbowe, kuitumia kofia yake ya Uenyekiti wa Chadema kwa kuitekeleza kwa vitendo sala ya Baba Yetu, kwa mtindo wa reciprocity kama yeye alivyosamehewa bila kuomba msamaha, sasa ni zamu ya na yeye kusamehe tuu bila kuombwa msamaha?., au Chadema iendelee kukomaa nao ili kuwaonyesha, kuwakomoa na kuwanyorosha?.

Tena na mimi kwa vile ubavu wangu ni pande za Kaskazi, na mimi nimeunga tela hija za migombani.

Merry Christmas

Paskali.
nashauri wakomae nao walaniewe
 
Wanabodi

Kama kawa kila nipatapo fursa, huja na makala zangu elimishi za kwa maslahi ya taifa, Chadema ni chama cha Kitaifa hivyo haya yanayoendelea ndani ya Chadema katika huu mgogoro wake na wabunge wake 19 wa viti maalum, una athari za Kitaifa zenye maslahi kwa taifa. Hoja yangu ya leo ni hii ,"kuna watu wana macho lakini hawaoni!, na wana masikio lakini hawasikii!". Swali ni je Chadema wana macho na yanaona?. Je wana masikio na yanasikia?. Kwenye hili la Wabunge 19, je Chadema wawasamehe wabarikiwe, au waendelee kukomaa nao mpaka kieleweke hata kama ni kulaaniwa?.

Naomba kukiri kupandisha bandiko hili, kwa inspirational kutoka andiko la Kaka yangu/mdogo wangu na bosi wangu kule TEF, Deodatus Balile.

Balile ameandika bandiko hili akiwa safarini jijini New Delhi nchni India.
C&P ya Balile

Mwisho wa kunukuu

Chief @⁨Balile⁩ , nikiwa New Delhi nilijifunza imani ya Hinduism kuhusu kitu kinachoitwa karma, hivyo ushauri wako kwa Chadema, utawaepushia Chadema karma ya mambo
mabaya waliowatenda hawa wadada 19 ambao mimi nawaita ni mashujaa, hivyo huu ni ushauri mzuri, wa hekima na busara sana kwa Chadema wenye maslahi kwa Chadema na maslahi kwa taifa only if Chadema wana macho ya kuona na wanaona, na wana masikio ya kusikia na wanasikia, kwasababu kuna watu wana macho lakini hawaoni, na wana masikio lakini hawasikii.

Wakati Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe anakabiliwa na kesi ya ugaidi, nilipandisha makala mfufulizo za Kilio cha Haki, nikiangazia haki jinai.
Kwenye sala yetu ya Baba Yetu, kuna mstari "Utusamehe makosa yetu kama tunavyowasamehe waliotukosea" hivyo tulimpongeza rais Samia kwa kauli hii baada ya Freeman Mbowe kuombewa msamaha
Watanzania tumshukuru Mungu kupata mtu mwenye moyo wa kusamehe. Je, tumuombe asamehe tu bila kuombwa msamaha au akomae naye?

Baada tuu ya bandiko hili, haukupita muda hatimaye Freeman Mbowe alisamehewa na kesi ya Mbowe ilifutwa!,

Sisi wa kupongeza tukapongeza
Asante sana Rais Samia kwa kuliponya Taifa. Umeonesha kwa kauli na matendo; tunajenga nyumba moja, hakuna sababu ya kugombea fito!

Sasa kuna ugumu gani Chadema kuwasamehe hawa wabunge wake 19?.

Hili sakata la wabunge hawa toka lilipoanza, mimi nimekuwa very open, objective and very transparent
Na nikashauri Chadema



Katika Salaam zangu kwa mwaka mpya, Mahali ni pazuri ndugu wanapokaa, wakipata vema na kupendana. Tulikotoka ni kugumu, tunakokwenda ni kurahisi, kuzuri! Heri ya Mwaka Mpya wahusika wote

Japo kwa jicho la juu juu, hao 19, wanaonekana kama wameshinda kesi yao mahakamani but in reality ni wameshindwa na hili nililisema The Voices From Within: "Mahakamani Watashindwa Tena!" Sababu ni Mawakili! Jee Tanzania Tuna Mawakili wa Calibre ya Murtaza Lakha?Jitokezeni Kusaidia! kwasababu katiba ya Chadema ina kipengele kilicho kinyume cha katiba, mwanachama wa Chadema akifungua shauri lolote mahakani, akishindwa kesi ni amejifukuzisha, hivyo Mahakama tayari imeishabariki kufukuzwa kwao, salama yao ni kusamehewa tuu!.

Kwa vile mimi namfahamu Freeman Mbowe kuliko Chadema wengi, Mbowe ni muungwana, Mbowe ni mtu wa shukrani, na baada ya kikao cha CC kuwatimua, Freeman Mbowe aliingia huruma na kufukuzwa kwao, akawasamehe, akawaita Nairobi, akawasamehe, akawashauri waombe msamaha, ili wayamalize, wakamgomea!.

It's high time Mwenyekiti wa Chadema, Mhe. Freeman Aikael Mbowe, kuitumia kofia yake ya Uenyekiti wa Chadema kwa kuitekeleza kwa vitendo sala ya Baba Yetu, kwa mtindo wa reciprocity kama yeye alivyosamehewa bila kuomba msamaha, sasa ni zamu ya na yeye kusamehe tuu bila kuombwa msamaha?., au Chadema iendelee kukomaa nao ili kuwaonyesha, kuwakomoa na kuwanyorosha?.

Tena na mimi kwa vile ubavu wangu ni pande za Kaskazi, na mimi nimeunga tela hija za migombani.

Merry Christmas

Paskali.
Ukisoma comments za wadau utaona kwamba zaidi ya asilimia 90 wanapinga ulichokiandika. Maana yake ni kwamba hoja zako hazina relevance yoyote, hivyo unatakiwa kubadilika. Watu si wajinga tena wa kulishwa propaganda zako.
 
Elimu maana yake ni nini? Serikali ilisema haina haja(nia) yakuendelea na kesi. wote tulifuatilia ushahidi wa ugaidi ambao ni kukata miti,kuweka magogo,kutuma pesa kwenye simu na mashahidi ambao hata shule waliyosoma hawamjui mwalimu mkuu au hata calassmate mmoja. unaposema Mbowe kasamehewa unajisikiliza? Bibilia uliyoinukuu inasema aombaye atapewa,atafutaye atapata na abishaye hodi atafunguliwa. waache kina mdee waone haja ya kuomba msamaha kama wanakubali wamekosea. so andiko linge kaa hivi Halima ombeni msamaha.
 
Ni kweli maana naona kama anawabeba mgongoni kiaina na hataki kuona walichokifanya, bali anaona tu Chadema wanachotakiwa kufanya kuhusiana na hao 19.
Mkuu Telesphore Magobe T, mimi niko very honest, najihesabu ni mtetezi huru wa haki, na hata kama ni wakosefu wanaostahili kuhukumiwa kufukuzwa, basi wahukumiwe kwa haki, kama ni kufukuzwa wafukuzwe kwa haki.

Sii wengi humu wanaijua na wameisoma w
katiba ya Chadema, mimi naijua katiba ya Chadema nimeisoma kinyume nyume!.

Nimeamua kujitokeza wazi sio ili kuingilia mambo ya ndani ya Chadema bali kujiridhisha kuwa katika fukuza fukuza hii ya hawa 19, jee haki imetendeka?, wanachama wale wamehukumiwa na haki kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni za Katiba ya CHADEMA?.

Mamlaka binafsi ya kuingilia mambo ya ndani ya CHADEMA, ni kwa mujibu wa katiba nchi, kipengele cha uhuru wa kutoa maoni na haki ya kiraia kwa "public bodies" ambapo japo CHADEMA ni taasisi huru yenye mamlaka kamili ya kujifanyia mambo yake yenyewe, CHADEMA pia ni taasisi ya umma, public party, inayo gharimiwa na fedha za umma, public money, ambazo ni kodi yetu hivyo "the public has the right to know its public as well as its private conduct!".

Swali la kwanza la kujiuliza ni
  1. Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, ili kumvua mtu uanachama kuna mlolongo wa kanuni na taratibu za kufuatwa na miongoni mwake ni hizi nitakazo ziorodhesha hapa chini, jee zilifuatwa?.
  2. Kuandaa Hati ya Mashtaka kwa maandishi yenye tuhuma zote ambazo mtuhumiwa anakabiliwa nazo. Jee hati hizi za mashitaka kimaandishi ziliandaliwa?.
  3. Hati hiyo ya mashitaki kimaandishi inatakiwa ikabidhiwa kwa mtuhumiwa kwa "despatch" ili kuthibitisha imemfikia, jee hili lilifanyika?, nimesikia kuna watu waliitwa kwa simu, kuna watu waliitwa kwa WhatsApp na barua zimetumwa kwa WhatsApp jee huu ndio utaratibu kwa jambo zito kama hili?.
  4. Mtuhumiwa atatakiwa kuzijibu tuhuma za mashitaka hayo ndani ya kipindi cha siku 14 tangu tarehe aliyopokea barua ile ili apate muda wa kutosha kutafakari, jee hili lilifanyika?.
  5. Baada ya majibu ya hati ile ya mashitaka kurejeshwa, ndipo mamlaka ya nidhamu ingepaswa kuitisha kikao rasmi kwa mujibu wa katiba na kumwalika mtuhumiwa kwa barua ili kumpa nafasi ya kujieleza na kumsikiliza kabla ya kufikia maamuzi!. Jee kwenye huo uamuzi uliotangazwa jana na Bavicha, Jee sheria, taratibu na kanuni zilifuatwa?!.
  6. Kanuni ya kwanza ya haki ni "no body is condemned unheard!". Yaani hakuna yoyote atakayehukumiwa bila kusikilizwa!. Wameitwa kienyeji enyeji, wakagoma wamehukumiwa in "absentia" bila kusikikizwa, hii ni haki?.
  7. Nawasisitiza Chadema kutenda haki ili pia kuepuka hukumu ya kitu kinachoitwa karma isije kuwakumba kwa siku za usoni. Ukiwatendea watu uovu au ubaya kwa kuwaonea, bakora za karma ya uovu ule zitakuja kuitandika Chadema siku zijazo.
Wito faraja kwa wadhulumiwa wote wanaonyanyaswa na kudharauliwa kwa ajili ya kupigania haki yao ndani ya Chadema hadi kufukuzwa kama mbwa!. Kama nyinyi ni watu wa haki, msihofu na kutimuliwa Chadema, Mungu yupo na ni mkubwa zaidi ya Chadema. Mungu atawasinamia na kokote muendako atawainua na kuwalipia, itakuwa ni story ya ," jiwe walilolikataa waashi litafanywa kuwa jiwe Kuu la pembeni", mnaweza kuinuliwa hadi Chadema kuja kuwapigia magoti huko mbele ya safari.

Ushauri huu lengo lake ni kutuaminisha sisi Watanzania wengine tusio wanachama wa CHADEMA, kuwa Chadema ni chama cha haki na kinafanya maamuzi yake kwa haki kufuata misingi ya sheria, taratibu na kanuni za haki, hivyo kutupa matumaini kuwa CHADEMA inaweza kuaminiwa na kukabidhiwa nchi mwaka 2025!, vinginevyo kwa mambo haya kama yalivyo sasa, na kama CHADEMA haitabadilika, then kwa 2025 CHADEMA itakuwa bado haijakomaa kiasi cha kutosha kuaminika na kukabidhiwa nchi!, hivyo 2025 ni CCM tena.!.
P
 
Ukisoma comments za wadau utaona kwamba zaidi ya asilimia 90 wanapinga ulichokiandika. Maana yake ni kwamba hoja zako hazina relevance yoyote, hivyo unatakiwa kubadilika. Watu si wajinga tena wa kulishwa propaganda zako.
Mkuu malantu , umeisha wahi kukisikia kitabu kinaitwa "An Enemy of the People " kilichoandikwa na Hendrix Ibsen?
P
 
1. Kusamehe maana yake ni nini? Ni mtu mwenyewe anayehusika kuona alilolifanya ni kosa au baya na anajuta kwa nini alilifanya na anaomba asamehewe huku akisema hatarudia tena. Hii ndiyo maana halisi ya kusamehe.
2. Kama mhusika (alyefanya kosa/baya) haoni kosa/baya alilolifanya na kwa sababu hiyo haoni haja ya kuomba msamaha, hastahili kusamehewa. Kwa maneno mengine, kumsamehe mtu wa namna hii ni kazi bure!
3. Suala la wabunge 19 kuna issues 2: 1) Je, waligushi barua na saini na kwenda kuapishwa bila ridhaa ya Chadema au 2) waliteuliwa na Chadema na kuandikiwa barua ya kuwaidhinisha waapishwe? Kwa maneno, mengine wanaosema ukweli katika jambo hili ni Chadema au ni hao wabunge 19? Kama wanaosema ukweli ni hao 19 na katika yote wanaomba warudi (kwa vile wanaona hawana cha kutubu na hawana sababu ya kutubu), hapa ni kweli wasamehewe kwa sababu Chadema wamewakosea. Kama wanaosema ukweli ni Chadema na hao 19 pamoja na kuona kwamba walifanya kosa na wanakomaa kutosema kwamba walifanya kosa isipokuwa wanataka kusamehewa bila kuona kosa lao, hapa hawastahili kusamehewa. Acha Chadema ife, lakini siyo kusamehe watu ambao wao wenyewe hawataki kukiri kosa lao (labda tu kwa maana kwamba kwa sasa issue ya hao 19 kwa Chadema si issue tena ya kuwapotezea muda na fedha).
4. Hivyo, kwa upande wangu kama ni kusamehe lazima kuwe na justification (and the justification is for them to come forward and say they did ABC and now they are sorry and ask for forgiveness), but if there is no justification I cannot see why they should be forgiven.
Umemaliza yote mkuu.
 
Tujaribu kutafiti chuki za Paskali dhidi ya Chadema zilianza nini na nini ilikuwa chanzo na hasa dhidi ya Mbowe jambo ambalo yeye halifichi, binafsi ninaamini Mbowe akitoka Chadema Paskali atazaliwa upya, roho yake itakuwa huru.
Mkuu Hismastersvoice , I don't know how old you are, ila uliwahi kusikia kipindi kinaitwa Kiti Moto?, na kilikuwa kinaendeshewa wapi?.
Kwa kukusaidia wewe na wengine, kipindi cha Kiti Moto, kilikuwa kinaendeshewa Kilimanjaro hotel na Club Billicanas, mimi wakati naoa vikao vyangu, harusi yangu tumeendeshea Club Billicanas na ukumbi ni Freeman Mbowe ametupa bure!.

Hivyo Mbowe ni rafiki yangu mkubwa na tumetoka nae mbali toka enzi za Mbowe Hotels hivyo sina chuki yoyote na Mbowe, kosa langu kubwa ni kupenda haki, kosa kubwa la Chadema ni kutotenda haki.

Unaweza kuniangalia nilizungumza na Mbowe usikilize kwa makini nimesema nini kuhusu mimi na Freeman
View: https://youtu.be/fxDX_gkCE1E?si=kXh5FLNJxYynqi_g
Pasco
 
Kaka pascal,tunajuheshimu Sana Tena Sana.
Ila kwa Sasa hoja zako zina walakini.
Tayari wewe rangi yako inajulikana,Mara mia ungeendelea kujifanya uko neutral.
Mda mwingine usomi wenu inafikia kuonekana hopless kwa wengi waliokuwa na matumaini nanyi.
Kinachowaharibia kaka,ni uchawa,kujipendekeza,kuhitaji huruma kutoka kwa mwenyekiti WA CCM,Njaa,undumilakuwili,hamsimamii misimamo ya Haki.
Ila kikubwa mnaangalia maslahi yenu Kwanza na sio maslahi ya Taifa.
Mpaka mda huu wewe,usiwe unatuletea mabandiko yahusuyo siasa kana kwamba wewe upo pembeni.

We jikite katika kujenga Chama chako na mabandiko yahusu chama chako kikongwe.
Mbona hujawahi tuletea bandiko lonalohusu Utawala WA CCM tangu uhuru mpaka Leo hii matatizo lukuki mpaka Nchi inakuwa maskini irihali Ina raslimali kedekede.
Kazi jusifiana kwa kutegemew teuzi.

Labda Kama kaka nimesahau,shusha Bandiko ulilowahi leta humu la kusisitiza Katiba mpya ipatikane iwe isiwe ikiwa na maana kuwa mwenendo WA kuongoza Nchi ya Sasa yenye wakazi millions 59+

Au ndo ile NYANI haoni kundule.
Tafadhaki kaka,watanzania WA Leo sio wale wa mwaka 1950.

Mnatukosea Sana wasomi WA Nchi hii mlio katika CCM.
Huu ndo ukweli,
Magufuri mlimsifu Sana,lakini mkasahau kuwa ni zao la Ccm.Tatizo la Nchi hii ni Katiba iliyopo haiendani na Ulimwengu wa Sasa.

CCM inaharibu Nchi hii kwa kukumbatia mfumo mbovu,wenye harufu ya kurithishana.
Usijaribu kushauri vyama vya siasa vikubwa Kama Chadema,ACT Wazalendo.kavishauri vile vya CCM B.

Uchaguzi WA 2020 Kuna chochote ulichokisema kweli,au ndo mabandiko ya kusifu na kuabudu.
Kaka X mas njema tu.
Maneno kuntu kabisa haya kwa Pascal.
 
Mkuu Hismastersvoice , I don't know how old you are, ila uliwahi kusikia kipindi kinaitwa Kiti Moto?, na kilikuwa kinaendeshewa wapi?.
Kwa kukusaidia wewe na wengine, kipindi cha Kiti Moto, kilikuwa kinaendeshewa Kilimanjaro hotel na Club Billicanas, mimi wakati naoa vikao vyangu, harusi yangu tumeendeshea Club Billicanas na ukumbi ni Freeman Mbowe ametupa bure!.

Hivyo Mbowe ni rafiki yangu mkubwa na tumetoka nae mbali toka enzi za Mbowe Hotels hivyo sina chuki yoyote na Mbowe, kosa langu kubwa ni kupenda haki, kosa kubwa la Chadema ni kutotenda haki.

Unaweza kuniangalia nilizungumza na Mbowe usikilize kwa makini nimesema nini kuhusu mimi na Freeman
View: https://youtu.be/fxDX_gkCE1E?si=kXh5FLNJxYynqi_g
Pasco

Kupenda HAKI......ni kichaa pekee atakuelewa.
 
Back
Top Bottom