Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 7,507
- 11,741
Lami Kigoma burundi ipoKigoma ni sehemu nzuri kwa kuishi na kuwekeza,lakini serkali imetelekeza mkoa ule kwa muda mrefu,kwahiyo wananchi wote wenye uwezo na fikra chanya za maendeleo waliamua kuhama na kwenda kuishi sehemu zenye huduma zote za msingi..
Mfanyabiashara makini hawezi kukaa sehemu haina barabara,haina umeme,haina ndege,.
Watu wa kigoma ni wachapa kazi haswaa ila kazi zao haziwafikishi popote sababu serikali haijawekeza vizuri kwenye miundombinu hasa barabara za kuingia na kutoka kigoma.
Kigoma inahitaji vitu vifuatavyo ili iende mbele
1.meli angalau mbili za mizigo na abilia kwa ajili ya DRC na Burundi.
2.Barabara ya lami Kigoma-mpanda.
3.barabara ya lami kigoma-tabora
4.barabara ya lami kigoma-shinyanga
5.barabara ya lami kigoma-kagera
6.barabara ya lami kigoma-burundi
7.usafiri wa ndege wa uhakika
8.umeme wa uhakika.
Hiyo miundo mbinu itasaidia sana.
Lami kigoma tabora bado kipande kidogo sana cha uvinza tu malagarasi
Lami ya Kigoma kagera mkandarasi yupo site