teamasala
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 617
- 637
kweli ni nyasi tupu hakuna umeme100% true
kigoma imechoka,pale mjini tu vijumba vimechakaa vya miaka ya 1940's sasa hko vijijin full nyasi ukijenga ya bati tu unalo
kweli ni nyasi tupu hakuna umeme100% true
kigoma imechoka,pale mjini tu vijumba vimechakaa vya miaka ya 1940's sasa hko vijijin full nyasi ukijenga ya bati tu unalo
Muha mtukane tusi lolote lile unalolijua hapa duniani siyo shida kwake LAKINI ole wako ukimwambia asili yake ni Burundi, Rwanda au DRC!Kwao burundi na congo
Mbona wahaya wanasifa sana, kumbe kwao hawajajenga!!!!Kigoma na kagera hii mikoa ni shida!!
Hata grid ya taifa hakunan ukweli mtupu huwez amini kigoma lami IPO mjini hadi manyovu border tu
mkoa mzima n vumbi
Tupe mfano mkuuHahHah, shida siyo uchawi tuu, watu hawataki kuelimika, wengiwao hamekalilishwa vitu vya kijinga,japo natoka kigoma kuna vitu vinakera ukiwa unavisikia karne hii ya 21,
wamejenga wachacheMbona wahaya wanasifa sana, kumbe kwao hawajajenga!!!!
hujui usemachokama ulitoka chuo na ukatumia methodology ulizojifunza huko ukakusanya sample ya wavuta bangi na wanywa gongo kama wewe ulitegemea uje na statistical data za maana hapa zaidi ya kubwabwaja bila ushahidi? mawazo kama hayo ya kwako yaliyo jazwa tope la ujinga wa kuwaza mambo ya kichawi kama wewe ulivyo
kwakweli ni janga la kitaifa.
mm nilikua kule manyovu,buhigwe kakonko duh utadhani karne ya 3ila kigoma ni pabaya jamani hata mi nikishaenda kikazi...hamna maendeleo kabisaa.
ukienda wajua tu wewe ni mgeni sio wakule na wanashangaa kabisa.
kaz yao n kushinda magengeni kubishanayani nilivoenda Kigoma nilidhani nimeingia nchi nyingine...ukienda vjijini geografia imekaa vibbbaya
.yani ukitoka kijiji kimoja kwenda kingine ni hadi urudi barabara kuu ...halafu kuna rasilimali lkn watu hawawendi kuwekeza..miundo mbinu mibovuuu....Yyyani.
Hahaha majamaa mabishi hayo!kaz yao n kushinda magengeni kubishana
wanaweza kubishana hata na jiwe
kwao kibandamaitiNINAKUSHUKURU KWA KUTUKUMBUSHA LAKINI NAKUOMBA MLETA HOJA UNIAMBIE KWENU WAPI NIKUPE MAJIBU JAPO KIDUCHU. KARIBU.
Hivi uliuliza bei ya bati na saruji Kigoma ni kiasi gani? Unategemea m-kigoma anunue bati 20,000/- halafu Dar wanunue 15,000/- halafu uwalaumu eti ni masikini hawaezeki nyumba zao kwa bati kisa uchawi? You are not serious man.kuna maendeleo ya kuletwa na serikali lakin kuna mengine n ya watu wenyewe mfano
kigoma vijumba vingi n nyasi je serkl ije iwajengee za bati?
acha kutetea ujinga mkuuHivi uliuliza bei ya bati na saruji Kigoma ni kiasi gani? Unategemea m-kigoma anunue bati 20,000/- halafu Dar wanunue 15,000/- halafu uwalaumu eti ni masikini hawaezeki nyumba zao kwa bati kisa uchawi? You are not serious man.
Vv
Mbona zitto kajenga na anadunda mpaka leothubutu
Hivi hujajua kwanini hawajengi huko ...kuna uchawi mtakatifu huko utadhani shetani ndio amezaliwa kule ...
ukijenga tu jiandae kurudi kwenye jeneza ..watu hawataki kabisa kuona vijana wanakuwa na maendeleo.
kuna wengine ambao niwazawa hawataki kurudi hata kutembea kwao
yaani hawataki kurudi hata kwa bahati mbaya
Unataka mwananchi wa kigoma aweke lami?n ukweli mtupu huwez amini kigoma lami IPO mjini hadi manyovu border tu
mkoa mzima n vumbi