Wana Kigoma embu jengeni kwenu

Wana Kigoma embu jengeni kwenu

Ukifika Kigoma ni mji uliokauka sana kimaendeleo japo imepakana na nchi zaidi ya mbili. Mbaya zaidi harufu ya kule ni harufu ya kichawichawi. Wenyeji wa huko wamelogezewa ubishi wa kijingajinga tu.

Jamani wanakigoma jengini kwenu, embu igeni mfano wa watu wa Kaskazini kama wa Kilimanjaro, Arusha na atlist Tanga.

Yani hadi wapemba na waunguja wamewazidi kimaendeleo na huku wako visiwani. Acheni hizo bana jengeni kwenu.

Futeni hiyo sifa ya kijinga mnayojisifia ya uchawi. Mkiendekeza mtaendelea kuwa masikini hadi sana.
Acha uongo wewe.
Kigoma hakuna shida kama unavyodanganya hapa.
Kuna changamoto kubwa ya barabara za rami lakini hakuna shida ya njaa njaa kama mikoa ambayo mnaioverrate kama Dodoma.
Kigoma huwezi ukasikia imepewa msaada wa chakula au kuna ugum wowote wa maisha.
Kogoma waachie wa kigoma na wengine wanaopapenda wewe baki kwenu.
 
una roho ya kibinafsi sana, wewe si mhaya, utakuwa mrundi tena interahamwe.
kila kitu unasma "si ya baba yako" inaonyesha usivyo na lishe na utapiamlo unakutawala,

Kikwete alikuwa anazunguka dunia na anasema anataka tuwe na viwanda kama nchi fulani, magufuli naye the sam, kwani hivyo viwanda vya baba zao?
wewe ni interahamwe wa ajabu kwa karne hii, sijawahi ona mtu wa ajabu kama wewe.
Hata kama umenipa utaifa mwingine poa tu!! Ila Mimi mhaya og kabisa,,,,we polisi tulia ufie kambini achana na wahaya ni level zingine mzee
 
Acha kuchafua mikoa ya watu Baki kwa mama yako kigoma usije,tena kigoma kuna reli,ziwaTanganyika,kuna mipaka ya nchi ZAIDI ya mbili,zao LA michikichi,mihogo,mahindi,viazi,ndizi vitu vingi ambavyo kwenu hakuna sema mkoa umetelezwa na serikali tokea kitambo tangu awamu ya kwanza.
 
Acha kuchafua mikoa ya watu Baki kwa mama yako kigoma usije,tena kigoma kuna reli,ziwaTanganyika,kuna mipaka ya nchi ZAIDI ya mbili,zao LA michikichi,mihogo,mahindi,viazi,ndizi vitu vingi ambavyo kwenu hakuna sema mkoa umetelezwa na serikali tokea kitambo tangu awamu ya kwanza.
Mpaka leo ndoto yangu ni kuishi kigoma na Ninaomba iwe hivyo
 
umejipotosha dogo, kwanza niheshsimu mimi ni jajoi.

pili, hujafika kilimanjaro, fedha za kigeni zinazotumwa nchini nyingi zinakwenda kilimanjaro, wahaya hamna kitu hicho, well labda tu sikuhizi mmeacha uchawi ndio najua ila kiburi majivuno na kujisifia hamjaacha.
Mimi mummy wa Rombo hapo mamsera.

Huwezi nidanganya kitu.
Pili uchawi na wahaya wap na wap

Nenda ukaone mijumba huko kanyigo.


Kwa sasa family isiyosoma inaishi kwa tabu uhayani ni aibu tupu.ndo maana elimu ya mkoa huu haijawahi kushuka
 
orodha ya mikoa maskini kW mujibu wa wizara ya fedha
1_kigoma
2_geita
3_kagera
4_singida
5_mwanza

Unajua vipimo vilivyotumika. Tembelea vijiji vya Kagera then tembelea huko kwenu Kigoma, Tabora, Shy, Singida, Dom, Simiyu, Mwz alafu the na remarks hapa bias free
 
kuna mikoa n ya kipekee
mfano Kilimanjaro,vijijin huduma zote zipo maji shule zahanati
kule shule zingine majengo hayana wanafunz maana n meng sana
pia kuna kampeni ya kila kijiji zahanati
kule ni jambo LA kawaida kukuta magorofa yamejengwa vijijin huko kwenye migomba
na makaz ya kule n ya kisasa majumba ya kifahari vijijin lami kila wilaya ukiwa kijijin hutaman kwenda mjin KBS
watu waliowahi kufika Kilimanjaro watakubaliana na mm
Unao delea KLM ipi labda. Same na Mwanga wamo?
 
Nimesoma comments zote mbona wanakigoma wapo kimya (Waha na Wamanyema) kutetea mkoa wao
 
Watu hawaijui kagera vzr!! Hatuna haja ya kupendezesha mji wakati vijijin kwetu mambo yako xawa sana,ukihitaji sementi,bati,misumari yaani chochote kihusucho ujenzi unapata kijijini hapo hapo
Wahaya watani zetu mmeamua kuubadilisha uzi sio.Tunajadili kigoma au bukoba.Uzi wenu dhidi ya moshi upo, nsituharibie mudi .Nshomile nyie! Hakuna muhaya aliewahi kunizidi darasani ebo!
 
Tangu mheshimiwa azuie wezi, wahaya na wachaga mnanuna sana.Magu ikikaa miaka 20 madarakani itafahamika kabila gani wana akili ya kutafuta sio kuiba.Wahaya na wachaga kujitapa wamesoma lakini hawajawahi innovate hata kijiko.Bora wamasai wameinnovate milkanda na viatu.Waha wameinnovate muziki.
 
Hata kama umenipa utaifa mwingine poa tu!! Ila Mimi mhaya og kabisa,,,,we polisi tulia ufie kambini achana na wahaya ni level zingine mzee
ndio naingia kulinda viongozi huku kapripoint, wahaya mjitahidi mjenge kwenu acheni ushamba, si mnaona ruge mtahaba amekufa ndio hata barabara ikachongwa, ishomileeee
 
Tangu mheshimiwa azuie wezi, wahaya na wachaga mnanuna sana.Magu ikikaa miaka 20 madarakani itafahamika kabila gani wana akili ya kutafuta sio kuiba.Wahaya na wachaga kujitapa wamesoma lakini hawajawahi innovate hata kijiko.Bora wamasai wameinnovate milkanda na viatu.Waha wameinnovate muziki.
Sisi tuna alternance nyingi hatutegemei kuiba ndio maana tangu enz n'a enz kilimanjaro haijawah kuporomoka kiuchumi
 
Unao delea KLM ipi labda. Same na Mwanga wamo?
Karib klm
tapatalk_1557337974135.jpeg
36750161.jpeg
 
Mkuu niliwahi fika mwanza mbona hawako vibaya Sana nilikaa siku 8 tuu nikageuza au Uko ndani ndani ndo balaa nini?
tuambie sie tunaekaa!tz hii ckuwah kujua kuna duka wanapima mafuta ya kupikia ya sh 100 hii nmei exprience mwanza!yaan kiujumla purchasing power ya watu wa huk ipo chin sanaa.Na kilchonishangaza biashara mjin mwsho n saa kumi na mbil jion,maduka yote yamefungwa huku miji mingine muda huo ndo biashara zinanza
 
Back
Top Bottom