indicator mojawapo ya maendeleo ya sehemu yoyote n miundombnu bora
sasa kama barabara tu n vumbi je idara nyingine?
Wahaya asikwambie mtu wako vzr mno kimaisha tena vzr mno,,achana propaganda za wapumbavu alafu unakuta mtu anayeponda yuko dar analala chumba kimoja na wanae wakati watu wako bukoba vijijini wanaponda raha kwenye mijumba ya adabu na mandhari safi kbx ya migomba na kahawaMbona wahaya wanasifa sana, kumbe kwao hawajajenga!!!!
Pole aisee mkuuAcheni kuwa mnapenda kuongea matusi na kashfa za hovyo kwenye maeneo ya watu. Kiasi unachoelekea unataka kusema kule wanaishi wanyama.
Ni wapi uliona pamefika hapo eti watu ndo walijenga? na unalazimishwa na nani kwenda huko wewe usipopapenda? Wewe huko kwenu hakuna watu kutoa mikoa mingine wamejenga huko? Acheni ubaguzi wenu na dharau zenu, grow up!
Magorofa ya mjini yatakusaidia nini wakati si ya baba ako,,nenda vijijini ujionee mijumba ya adabu watu wanaishi kama ulaya huko kagera,,hatuibembelezi serikali inayoiba kodi zetu halafu inazichelewesha zikajenge miundo mbinu ya bara bara na maji bali tunapambana kivyetu kama vipi tuache tujitenge muone maajabu tutakayofanya kwa dakika sifuri tu.Ukifika kagera hutaamin
Mi huwa nawashangaa wanaolinganisha vijiji vya wahaya huko Bukoba vijijini na maeneo mengine tz .Kuna watu wanaifananisha kagera na mikoa mengine,,,,propaganda mfu hazitawasaidia,kagera ni mkoa ambao watu wake asilimia kubwa wanaishi maisha mazuri sana tena sana,,nenda kaangalie makazi yao/nyumba wanazoishi zilivyo bora,kaangalie mashamba,mifugo kiasi, ustaarabu kwa ujumla katika hali kama hii kagera ni onother level
Kuna wilaya chache kama ngara ambayo wapo warundi wengi ndio labda watu wake bado wanaishi kimaskini na biharamulo kdgo.
Ukienda Bukoba vijijini, muleba,misenyi,karagwe utashangaa standard ya maisha,watu wako vizuri tena vizuri mno nakwambia sijaona mkoa wenye maisha bora kama kagera labda moshi nayo siijui vzr,,,,kagera imepatwa na majanga makubwa mno lkn bado iko imara
Hata awamu nyingi zimeitelekeza lkn bado watu wanapambana kutoka kimaisha,,kagera ingekuwa ulaya nawaabieni.
We unamsifia mengi wakati kwenu choka mbaya kibanda kinataka kudondoka baba ako amekalia kunywa mbegge,,,naona we ndio umejikwamua umepata ka kazi ka upolisi maskin ya mungu!! Au cjui mjomba wako ndo polisi maana naona lipicha la gwanda!! Unalingaaa,umekalia kumsifu mengi,si umsifu babako pumbavu wewe.sasa wabadilike, hawa wengi wamekimbilia Dar lakini hawarudi kwao, wajifunze kwa wachagga, Jumba la Mengi hakuna mtanzania aliyejenga vile, tena kijijini, ila mzee wetu ndio akitaka kula raha anakwenda na mke wake kule
Watu hawaijui kagera vzr!! Hatuna haja ya kupendezesha mji wakati vijijin kwetu mambo yako xawa sana,ukihitaji sementi,bati,misumari yaani chochote kihusucho ujenzi unapata kijijini hapo hapoMi huwa nawashangaa wanaolinganisha vijiji vya wahaya huko Bukoba vijijini na maeneo mengine tz .
Binafsi sijawahi ona tz hi vijiji vilivyo mijumba na mazingira ya kuishi kama Kagera kidogooo japo ni sehemu ndogo Kilimanjaro wanajitahidi ila na wenyewe bado maana Moshi yenyew ni Sawa na Wilaya moja ya misenyi Tu katika vijiji vya bukoba .
Kama mtu anataka kuwa mbishi aangalie utaratibu wa usafiri mkoani Kagera .ni mkoa gan ambao Una daladala za vijijini nyingi kama Bukoba yaana vijiji vya kamachumu vina daladala zaidi ya 60 .hii inamaana kuwa asilimia kubwa ya watu wanaishi huko vijijini.
Kagera ndo mkoa wenye urbanization ndogo Sana kwa sababu ya uafadhali wa Maisha vijijini mtu haoni haja ya kutoka kijijini.
Kumbuka Kagera ni mkoa wa tatu kwa idadi ya watu bongo
Bukoba vijijini hukoView attachment 1118017
kaka "nyakibimbili" pole sana, "ni wivu tu unakusumbua" lakini shule za kata anazojenga Zitoo zitawatoa matongotongo.We unamsifia mengi wakati kwenu choka mbaya kibanda kinataka kudondoka baba ako amekalia kunywa mbegge,,,naona we ndio umejikwamua umepata ka kazi ka upolisi maskin ya mungu!! Au cjui mjomba wako ndo polisi maana naona lipicha la gwanda!! Unalingaaa,umekalia kumsifu mengi,si umsifu babako pumbavu wewe.
ni wivu tuWe unamsifia mengi wakati kwenu choka mbaya kibanda kinataka kudondoka baba ako amekalia kunywa mbegge,,,naona we ndio umejikwamua umepata ka kazi ka upolisi maskin ya mungu!! Au cjui mjomba wako ndo polisi maana naona lipicha la gwanda!! Unalingaaa,umekalia kumsifu mengi,si umsifu babako pumbavu wewe.
kuna daldala nyingi kwakuwa hamtumii magari binafsi, kilimanjaro kuna daladala chavhe kwakuwa muda mwingi wanatumia private cars.Mi huwa nawashangaa wanaolinganisha vijiji vya wahaya huko Bukoba vijijini na maeneo mengine tz .
Binafsi sijawahi ona tz hi vijiji vilivyo mijumba na mazingira ya kuishi kama Kagera kidogooo japo ni sehemu ndogo Kilimanjaro wanajitahidi ila na wenyewe bado maana Moshi yenyew ni Sawa na Wilaya moja ya misenyi Tu katika vijiji vya bukoba .
Kama mtu anataka kuwa mbishi aangalie utaratibu wa usafiri mkoani Kagera .ni mkoa gan ambao Una daladala za vijijini nyingi kama Bukoba yaana vijiji vya kamachumu vina daladala zaidi ya 60 .hii inamaana kuwa asilimia kubwa ya watu wanaishi huko vijijini.
Kagera ndo mkoa wenye urbanization ndogo Sana kwa sababu ya uafadhali wa Maisha vijijini mtu haoni haja ya kutoka kijijini.
Kumbuka Kagera ni mkoa wa tatu kwa idadi ya watu bongo
Bukoba vijijini hukoView attachment 1118017
una roho ya kibinafsi sana, wewe si mhaya, utakuwa mrundi tena interahamwe.Magorofa ya mjini yatakusaidia nini wakati si ya baba ako,,nenda vijijini ujionee mijumba ya adabu watu wanaishi kama ulaya huko kagera,,hatuibembelezi serikali inayoiba kodi zetu halafu inazichelewesha zikajenge miundo mbinu ya bara bara na maji bali tunapambana kivyetu kama vipi tuache tujitenge muone maajabu tutakayofanya kwa dakika sifuri tu.
Punguza uchaga wew eti wachaga wana uzungu sana[emoji3]kuna daldala nyingi kwakuwa hamtumii magari binafsi, kilimanjaro kuna daladala chavhe kwakuwa muda mwingi wanatumia private cars.
kilimanjaro wana uzungu sana, hata wazungu wenyewe huwa wanashangaa, viongozi wote wa seriklaali hununua nyumba kilimanjaro kama si kutaka kuoa huko ili wapate mashemeji wastaarabu
umejipotosha dogo, kwanza niheshsimu mimi ni jajoi.Punguza uchaga wew eti wachaga wana uzungu sana[emoji3]
Unavyowasema unafikiri hatuishi nao Kwanza kuna washamba wengi huko.
Yaani vijiji vyenu vyote ni Sawa na Wilaya moja Tu ya muleba.
Hiv unaweza ukaniambia factor moja ya urbanization ni umaskini uliokamaa vijijini
Kagera ndo mkoa wenye urbanization ndogo Sana kwa sababu ya uafadhali wa vijiji vyake na Maisha .mtu haoni haja ya kukimbilia mjini wakati anarizika akiwa kijijini ndo maana kuna daladala nyingi huko.
wachaga hamuwezi fika hata robo ya matajiri wa kihaya.hata mengi wenu huyo amekufa
Huku wahaya kuna wawili katika ten best ya matajiri bongo huku wengina wakiwa waarabu