Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
Mbona morogoro na dodoma hazipo?orodha ya mikoa maskini kW mujibu wa wizara ya fedha
1_kigoma
2_geita
3_kagera
4_singida
5_mwanza
Hio sio fair
Mbona morogoro na dodoma hazipo?orodha ya mikoa maskini kW mujibu wa wizara ya fedha
1_kigoma
2_geita
3_kagera
4_singida
5_mwanza
Wabinafsi mno, huo ukurutu sijui utawatoka lini? wakifika miji ya watu wanaendeleza Ubinafsi, ni hatari sana.kagera wanaishi maisha ya kizamani sana..hakuna mgeni anaweza kwenda akafungua hata biashara ya maana...utabaki na duka lako nobody bother to come n buy anything!wazawa tu ndio wanaweza
Hatuna ubinafsi!smtyms wa mikoa mimgin wanajifeel inferior na kujitenga!hilo nimeliona many of the timesWabinafsi mno, huo ukurutu sijui utawatoka lini? wakifika miji ya watu wanaendeleza Ubinafsi, ni hatari sana.
Usiwatenge wenzakoKwao burundi na congo
Mwanza na Geita imepewa Umaskini kimkakati;read between the linesMkuu niliwahi fika mwanza mbona hawako vibaya Sana nilikaa siku 8 tuu nikageuza au Uko ndani ndani ndo balaa nini?
Umeandika vitu gani?maandishi yako hayahitaji uchawi kujua umri wakoHatuna ubinafsi!smtyms wa mikoa mimgin wanajifeel inferior na kujitenga!hilo nimeliona many of the times
Na smtms cc tunapendana sana htbkm mtu hmjui vzr,hch kinawakera wngn wntk tuchukiane km wngn
Ukifika Kigoma ni mji uliokauka sana kimaendeleo japo imepakana na nchi zaidi ya mbili. Mbaya zaidi harufu ya kule ni harufu ya kichawichawi. Wenyeji wa huko wamelogezewa ubishi wa kijingajinga tu.
Jamani wanakigoma jengini kwenu, embu igeni mfano wa watu wa Kaskazini kama wa Kilimanjaro, Arusha na atlist Tanga.
Yani hadi wapemba na waunguja wamewazidi kimaendeleo na huku wako visiwani. Acheni hizo bana jengeni kwenu.
Futeni hiyo sifa ya kijinga mnayojisifia ya uchawi. Mkiendekeza mtaendelea kuwa masikini hadi sana.
Tanga watoe, kama kuna mabadiliko labda yameanza jan
Yan mi hapo ndio huwa nnawaona wale watu ni wa ajabu yani ni kawaida yao c unajua mchawi akiona mgeni lazma anajihami akuwangie kwanza ili ajue una kinga gani ili usije ukawa unamzidi nguvu madawa yake yasije yakamrudi akafa yeye mwenyewe yaani mwambao wote wa ziwa tanganyika maisha yao ni ndagu tuila kigoma ni pabaya jamani hata mi nikishaenda kikazi...hamna maendeleo kabisaa.
ukienda wajua tu wewe ni mgeni sio wakule na wanashangaa kabisa.
Nadhani alimaanisha kipato cha jumla kimkoa ugawanye kwa mamilioni ya wanamwanzaMkuu niliwahi fika mwanza mbona hawako vibaya Sana nilikaa siku 8 tuu nikageuza au Uko ndani ndani ndo balaa nini?
Wacha kuleta maandishi ya kigoma huku au unataka uanze kubishana kama kawaida yenuHatuna ubinafsi!smtyms wa mikoa mimgin wanajifeel inferior na kujitenga!hilo nimeliona many of the times
Na smtms cc tunapendana sana htbkm mtu hmjui vzr,hch kinawakera wngn wntk tuchukiane km wngn
Uyu ni mkongomani mkuuUmeandika vitu gani?maandishi yako hayahitaji uchawi kujua umri wako
labda musoma ya kijijini kwenu lakini sio ya mkoa naotoka mimi, pili acha kuihusisha musoma na imani za kijinga.Kwa hiyo musoma ni kama kigoma maana kule napo kukavu mji hauendelei.....
Nilipata kusoma sehemu kuwa South Africa wanataka kuanzisha chuo cha mambo ya Uchawi kwa hiyo watakuwa maskini?Mtoa maada hafikirii kwa kina juu ya maendeleo yanayoletwa na watu weyewe wa eneo husika na yale yanayoletwa na Serikali! Hatahivyo, sioni kama kuna Mkoa usiyo na wachawi na washirikina. Ni fikra duni kusema, hauwezi kurudi nyumbani/Mkoani kwenu eti kwa sababu ya wachawi/washirikina wkt kila mahali wametapakaa hapa Africa na pengine Ulimwenguni kote. Jadilini kwa kina aina ya umasikini wa mkoa unaosababishwa na watu wenyewe na kwa hali halisi na ule umasikini unaosababishwa na uongozi mbovu wa Serikali husika

Wanazidiwa na wilaya kama KAHAMA&TARIMEUchawi na bange, lethal combination bila hekima na ufahamu!
Leonardo Da Vinci ndiyo ilikuwa kazi yake
Sasa huko Kigoma, sijui kwa kweli