Wana Kigoma embu jengeni kwenu

Wana Kigoma embu jengeni kwenu

mikoa maskini KBS tz kwa mujibu wa wizara ya fedha
1_kigoma
2_geita
3_kagera
4_singida
5_mwanza
Yaap Kabisa.. Kabisa waliitoa,pia hii mikoa inachangamoto ya Huduma za afya,ni moja ya mikoa ambayo unauhaba wa wauguzi,ukifuatilia tatzo kubwa,wauguz unakuta hawakai kwa matishio mbali mbali,kwahy wanaamua kuondoka tu. Very bad kwa kweli
 
Ukifika Kigoma ni mji uliokauka sana kimaendeleo japo imepakana na nchi zaidi ya mbili. Mbaya zaidi harufu ya kule ni harufu ya kichawichawi. Wenyeji wa huko wamelogezewa ubishi wa kijingajinga tu.

Jamani wanakigoma jengini kwenu, embu igeni mfano wa watu wa Kaskazini kama wa Kilimanjaro, Arusha na atlist Tanga.

Yani hadi wapemba na waunguja wamewazidi kimaendeleo na huku wako visiwani. Acheni hizo bana jengeni kwenu.

Futeni hiyo sifa ya kijinga mnayojisifia ya uchawi. Mkiendekeza mtaendelea kuwa masikini hadi sana.
Haya diamond na alkiba kama sample salam ziwafikie.
 
100% true
kigoma imechoka,pale mjini tu vijumba vimechakaa vya miaka ya 1940's sasa hko vijijin full nyasi ukijenga ya bati tu unalo
 
Ikiwa serikali yenyewe imeutelekeza huo mkoa unategemea nini zaidi??
 
indicator mojawapo ya maendeleo ya sehemu yoyote n miundombnu bora
sasa kama barabara tu n vumbi je idara nyingine?
Kama ni hivyo hakuna haki ya kuwaponda wana Kigoma eti hawaleti maendeleo kwao na wengine kuwalaumu eti Kigoma hakuna lami. Ni kuwaonea tu.

Vv
 
Mkuu kuwa na heshima na mipaka co kila unacho fikiria no sahihi kuandika
 
na ukiwa rafiki,mfanyabiashara,mfanya kazi,mna dili wote ni wakigoma basi wewe una akili kuliko yeye kutokana na akili zao sijui wameumbwa vipi
 
Back
Top Bottom