barutipiason
Member
- Apr 2, 2017
- 8
- 1
n ukweli mtupu huwez amini kigoma lami IPO mjini hadi manyovu border tu
mkoa mzima n vumbi
Kama lami ipo mjini hadi manyovu hhao wana kigoma wafanyeje Kwa mfano?
n ukweli mtupu huwez amini kigoma lami IPO mjini hadi manyovu border tu
mkoa mzima n vumbi
Ni kweli Kigoma hawajengi,hata Wageni wanaoenda kikazi wanapata shida kupanga nyumba.Yaaani ni mtihani kupata nyumba standard ya kuweza kupanga.Nafikiri dhana ya uchawi bado imeshika kasi.Nimetembelea almost maeneo yote,kuna maeneo wenyeji wanakwambia be careful hata kula,kushika vitu hovyo umeeenda.Ki ukweli utendaji kazi Kigoma ni shughuli pevu Utakutana na Wabishi,Vigagula mpaka utatamani kuresign kazi.Ukifika Kigoma ni mji uliokauka sana kimaendeleo japo imepakana na nchi zaidi ya mbili. Mbaya zaidi harufu ya kule ni harufu ya kichawichawi. Wenyeji wa huko wamelogezewa ubishi wa kijingajinga tu.
Jamani wanakigoma jengini kwenu, embu igeni mfano wa watu wa Kaskazini kama wa Kilimanjaro, Arusha na atlist Tanga.
Yani hadi wapemba na waunguja wamewazidi kimaendeleo na huku wako visiwani. Acheni hizo bana jengeni kwenu.
Futeni hiyo sifa ya kijinga mnayojisifia ya uchawi. Mkiendekeza mtaendelea kuwa masikini hadi sana.
Hiyo ndio Kazi wanayoijua na wanajisifia sana kwa hiloNi kweli Kigoma hawajengi,hata Wageni wanaoenda kikazi wanapata shida kupanga nyumba.Yaaani ni mtihani kupata nyumba standard ya kuweza kupanga.Nafikiri dhana ya uchawi bado imeshika kasi.Nimetembelea almost maeneo yote,kuna maeneo wenyeji wanakwambia be careful hata kula,kushika vitu hovyo umeeenda.Ki ukweli utendaji kazi Kigoma ni shughuli pevu Utakutana na Wabishi,Vigagula mpaka utatamani kuresign kazi.
MBNA nyie watu n wabish sanaHuyu jamaa cjui anazungumzia kigoma ipi Hasa na huo ujenzi cjajua ni wa aina gani Maghorofa, nyumba za makaz au viwanda?
tumekuelewa mkuuUkifika Kigoma ni mji uliokauka sana kimaendeleo japo imepakana na nchi zaidi ya mbili. Mbaya zaidi harufu ya kule ni harufu ya kichawichawi. Wenyeji wa huko wamelogezewa ubishi wa kijingajinga tu.
Jamani wanakigoma jengini kwenu, embu igeni mfano wa watu wa Kaskazini kama wa Kilimanjaro, Arusha na atlist Tanga.
Yani hadi wapemba na waunguja wamewazidi kimaendeleo na huku wako visiwani. Acheni hizo bana jengeni kwenu.
Futeni hiyo sifa ya kijinga mnayojisifia ya uchawi. Mkiendekeza mtaendelea kuwa masikini hadi sana.
sasa wabadilike, hawa wengi wamekimbilia Dar lakini hawarudi kwao, wajifunze kwa wachagga, Jumba la Mengi hakuna mtanzania aliyejenga vile, tena kijijini, ila mzee wetu ndio akitaka kula raha anakwenda na mke wake kuleUkifika Kigoma ni mji uliokauka sana kimaendeleo japo imepakana na nchi zaidi ya mbili. Mbaya zaidi harufu ya kule ni harufu ya kichawichawi. Wenyeji wa huko wamelogezewa ubishi wa kijingajinga tu.
Jamani wanakigoma jengini kwenu, embu igeni mfano wa watu wa Kaskazini kama wa Kilimanjaro, Arusha na atlist Tanga.
Yani hadi wapemba na waunguja wamewazidi kimaendeleo na huku wako visiwani. Acheni hizo bana jengeni kwenu.
Futeni hiyo sifa ya kijinga mnayojisifia ya uchawi. Mkiendekeza mtaendelea kuwa masikini hadi sana.
Ukiwaambia hivyo watasema wachaga wanajidaisasa wabadilike, hawa wengi wamekimbilia Dar lakini hawarudi kwao, wajifunze kwa wachagga, Jumba la Mengi hakuna mtanzania aliyejenga vile, tena kijijini, ila mzee wetu ndio akitaka kula raha anakwenda na mke wake kule
Umenikumbusha siku moja naangalia taarifa ya habari, kuna walimu walipangiwa kituo kigoma kufika tu wakaanza kulia, vumbi kila kona nyumba zote za nyasi, vitoto vinakimbia vikiwa uchi mmoja akawa anahojiwa huku analia anasema anajuta kusomea ualimuNi kweli Kigoma hawajengi,hata Wageni wanaoenda kikazi wanapata shida kupanga nyumba.Yaaani ni mtihani kupata nyumba standard ya kuweza kupanga.Nafikiri dhana ya uchawi bado imeshika kasi.Nimetembelea almost maeneo yote,kuna maeneo wenyeji wanakwambia be careful hata kula,kushika vitu hovyo umeeenda.Ki ukweli utendaji kazi Kigoma ni shughuli pevu Utakutana na Wabishi,Vigagula mpaka utatamani kuresign kazi.
Kigoma hadi tv inafungwa matunguli eti isilogwe ...yaani wanaishi km karne 14Hiyo ndio Kazi wanayoijua na wanajisifia sana kwa hilo
siyo walimu tu, hata majaji wenzangu, mahakimu wakipangiwa huko wanalia kwanza, thrn ndio wanafanya kazi, huko kuna watu wanaitwa TELEZAUmenikumbusha siku moja naangalia taarifa ya habari, kuna walimu walipangiwa kituo kigoma kufika tu wakaanza kulia, vumbi kila kona nyumba zote za nyasi, vitoto vinakimbia vikiwa uchi mmoja akawa anahojiwa huku analia anasema anajuta kusomea ualimu