omkalendelo
Senior Member
- Feb 24, 2017
- 113
- 186
Wahaya washabakizaga sifa tu lakin kwao hawajengiKagera kunanuka umaskini
Wahaya washabakizaga sifa tu lakin kwao hawajengiKagera kunanuka umaskini
Itoe mwanza na geitaorodha ya mikoa maskini kW mujibu wa wizara ya fedha
1_kigoma
2_geita
3_kagera
4_singida
5_mwanza
Ukifika kagera hutaaminNa usomi wote jamani? Au ni sifa tuu?
Mkuu no research no right to speak!Watu mara nyingi huwa wanaangalia mijini tu ndiyo wanapima maendeleo ya mkoa naanza na mwanza ukiwa katikati ya mji ni kweli pameendelea ila jumlisha na wilaya zake ni shida arusha na kwenyewe ni yaleyale longido monduli huko manyara na kwenyewe ni shida mtwara ambaye ndiyo ni kinara wa taifa kwa kipato cha kila mtu wako vizuri ila maisha wanayoishi ni shida wana pesa ila hawajui wafanye nini nahitimisha kwa kusema kama nchi bado hatujatatua kero za mikoa yote kila mkoa una changamoto zake kama kuna mkoa ambao umejitosheleza kwa kila kitu kuanzia shule barabara hospitali maji na kadhalika haupo huduma nyingi zinapatikana mijini tu ukiingia huko wilayani wananchi wana hali ngumu sana ya huduma za kijamii
Mkuu no research no right to speak!
Mtoa uzi hajasema kuna mkoa umekamilika, isipokuwa amejaribu tu kufanya ulinganisho;
Mbona vitu viko wazi mkuu huwezi kulinganisha Lindi na Arusha, Kilimanjaro na Ruvuma, Kagera na Mwanza au Singida na Mbeya.
Najaribu kutafakari bandari ya mtwara ingekuwa Mbeya ingekuwaje? Nakubali kwamba serikali ina mchango ktk kudhoofisha maendeleo ktk baadhi ya maeneo mfano mkoa wa Katavi kuna mbuga kuuuubwa na kungeweza kuwa kitovu cha utalii tz lkn miundombinu ni hafifu (hili ni tatizo la uongozi) ila wananchi ndio wenye mchango mkubwa, hata nyumba binafsi kweli serikali ndio iwajengee?
Shame!!
well saidIvi nyie watu mmefika Kigoma kweli! Kama ndio kigoma maeneo yapi? Mnavyoviandika havina ukweli wowote haya ni mawazo ya kifashisti, mleta mada tuambie mkoa unaotoka kwanza alafu tuanzie hapo uzuri tumezunguka karibu nchi nzima hakuna sehemu unayiweza kutudanganya, huko unapopasifua labda utakuwa unasifia kwa sababu ya road network lakini kwa structure sijui kama utakuwa sahihi kuhusu ushirikina kila sehemu upo mawazo kama haya ni ya ajabu kuwahi kutokea kwenye fikra za watu wanaojitambua lakini nisiongee sana huu uzi nahisi utakuwa umeanzisha na mtu wa kidato cha kwanza au four felia
Kuhusu shule moshi ni wenyeji walihamasishana wakajenga. Kigoma walimu wanajikuta wamelazwa nje sasa unategemea nn? Ukihamasisha watu wanaplan kukuloga tu.Mleta mada hajitambui na ni miongoni mwa watanzania wengi ambao akili zao zimekaa kitumwatumwa.
Miaka michache iliyopita mtwara na lindi ilikuwa ni mikoa ya ajabu. Kuna kipindi ilikuwa kutoka dar mpaka mtwara si chini ya siku mbili.lakini sasa hivi ni mkoa ambao unakuja juu kwa kasi na hii yote ni kutokana na serikali kupafungua kwa barabara.
Ukisema kigoma haiendelei kwa sabab ya uchawi.
Jiulize kwanza zaid ya barabara ambayo ndo inakalibia kamilishwa sasa hivi kulikuwa na njia nyingine ya kutoka kigoma?
Je mfuko cement moshi sasa hivi unauzwa si zaid ya 11000 je una habari kigoma ni zaid ya 22000?
Je kuna umeme wa kutosha?
Je idadi ya shule za serikali zilizopo moshi mpaka mwaka jana zinaendana na moshi au arusha?
Je huko arusha au moshi ishatokea mkakutana na kero ya wakimbizi? Mfano mzuri miaka ya 2006 kakonko hasa kasanda iliwahi fikia hatua majambazi wakivamia kwa jirani kesho unajua waje kwenu je moshi ujambazi wa hivo ushawahi tokea?
Je unajua kigoma iko kwenye ukanda wa tetemeko la ardhi kuna limitation ya ujenz.
Je bandar na reli ambazo zilikuwa ndo kama tegemeo zinafanya kazi kwa ufanisi.
Kuhusu ubishi wa waha eti ndo kigezo cha kukosa maendeleo. Hivi unajua almost ya unga wa sembe unaokula dar sasa hivi most of them ni waha. Je unajua almost ya viwanda vidogovidogo vinavyoanzishwa sasa hivi wengi wao ni hao unaosema ni wabishi?
Am proud to be a muha maana huwa hatuna akili za kitumwatumwa. Huwa nafikiria kama kwa muda wa miaka 50 hatuweza walau hata kuwekewa mazingira ya kunyanyuka kiuchumi lakin je tungewekewa walau hata miundombinu kama ya huko moshi tungekuwa wapi? Kumbuka 90"s kutoka dar mpaka nairobi ilikuwa ni mwendo wa masaa kumi na mbili na zaidi km900 lakin kutoka tabora mpaka kigoma kwa treni ilikuwa ni masaa kumi mpaka kumi na mbili na hakuna km 600 kwa bus kupitia nyakanazi siku mbili
Kwa habari ya Nyumba nyingi za nyasi nadhani hiyo ni Kigoma ya miaka mingi iliyopita kwa sasa Nyumba nyingi ni za matofali ya kuchoma na kuezekwa kwa bati.sii kweli
mfano kigoma nyumba za nyasi n nyingi sana na za hovyo je hapo serikali iende ikawajengee?
acheni kulialia na serikali
hebu nendeni Kilimanjaro muone jinsi wananchi wa kule wanavyochakarika
michango ya maendeleo wanatoa fasta
ulishawah sikia kilimnjar INA uhaba wa hospitali waalimu au shule? jiulize why
kule machame wananchi kijiji Fulani wamechanga hela wanataka waweke lami kijini chao sasa hapo unadhan maendeleo yanaletwa na serikali?
endeleen kuisubiri serikali itawajengea nyumba za bati
hahahaha eti hawajielewiHuoni maendeleo na wenyeji ni kama hawajielewi hivi.
By the way kigoma tunaipenda ikiwa vile ilivyo! somewhere to chill!siyo kila mahali tuwe na maflyover,magorofa blablah nyiiiiingi,tukienda home we eat fresh fish, veggies,kuku asili,ntole hadi raha kumoyo. Acha wengine wajenge sisi watuache hivvihivi na mawese yetu.Kama bado mnaamini katika uchawi nyie hamna kitu. By the way moja ya indicator ya umaskini ni kutojitosheleza kwa chakula. Mmewahi kusikia mikoa ya Kigoma na Kagera wakilia njaa?
Kuhusiana na uchawi kigoma hii ni ajabu kweli ndo maana wanaume wa dar mnatukanwa, maana ukimtoa dar ukampeleka mbeya utasikia siwez wekeza mbeya sabab wasafwa hawapendi mgeni aendelee akienda mwanza,tabora,dodoma utasikia kesi kama hizo.mbona mchina unamkuta mpaka huko murufyiti anakula lowe?
kagera ukabira ndo habari,yaan hata mpo watu wewe kama si wa huko utakoma,maana wenzio wanaanza kusemezana kilugha hata huelewi,kagera wanaishi maisha ya kizamani sana..hakuna mgeni anaweza kwenda akafungua hata biashara ya maana...utabaki na duka lako nobody bother to come n buy anything!wazawa tu ndio wanaweza
nyie ficheni tu...lkn kigoma uchawi upo sana tuLabda Kigoma unayoisema unaishi peke yako