GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,596
- 108,965
Tena kwakuwa GENTAMYCINE ni Mtani wenu mkubwa kutoka Uzanakini Wilayani Butiama Mkoani Mara ( Musoma ) leo nawachana na mtulie kama mmemwagiwa Maji Baridi sawa?
Kanisa Katoliki halikumteua Kadinali Rugambwa atokae Kwenu Kagera ili awe ni wa Kwenu na muanze Kumtambia na Kutukoga Sisi wengine bali Yeye ni Kadinali wa Wakatoliki wote wa Tanzania ( GENTAMYCINE nikiwemo ) sawa?
Watani zangu wana Kagera bado mna Ushamba Ushamba ( Ugaigai Mwingi ) na sijui lini mtabadilika na kuwa Wastaarabu na Makini kama wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) ambao ndiyo umewaleteeni huu Uhuru mnaotamba nao.
Nasikia Watani zangu Wahaya ( wana Mkoa Kagera ) kwa Ushamba wenu na Kupenda Kwenu Sifa hata Matukio makubwa ya Janga la Gonjwa lile, Kuzama kwa MV Bukoba, Tetemeko la Ardhi na Kudumbukia kwa Ndege ya Precision Air mnatamba na kujisifia nayo kuwa yametokea Kwenu tu na kwamba ndiyo Mnapendwa sana na Maulana.
ONYO
Kama unajijua huna Utani wa Kiasili ( wa Makabila ) na Wahaya ( wana Mkoa wa Kagera ) kama nilivyo Mimi GENTAMYCINE nakuonya Usiwatanie kwani Mimi nawamudu kwakuwa ni Mjomba na Shangazi yao.
Watani zangu mpo? Hongereni kwa kutuzalia Kadinali Rugambwa kwani kiukweli haiheshimishi tu Kagera yenu bali ameiheshimisha Tanzania nzima ukiwemo Mkoa uliobarikiwa na wenye Watu wenye Akili Kubwa ( kuwazidi nyie ) wa Mara ( Musoma )
Kanisa Katoliki halikumteua Kadinali Rugambwa atokae Kwenu Kagera ili awe ni wa Kwenu na muanze Kumtambia na Kutukoga Sisi wengine bali Yeye ni Kadinali wa Wakatoliki wote wa Tanzania ( GENTAMYCINE nikiwemo ) sawa?
Watani zangu wana Kagera bado mna Ushamba Ushamba ( Ugaigai Mwingi ) na sijui lini mtabadilika na kuwa Wastaarabu na Makini kama wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) ambao ndiyo umewaleteeni huu Uhuru mnaotamba nao.
Nasikia Watani zangu Wahaya ( wana Mkoa Kagera ) kwa Ushamba wenu na Kupenda Kwenu Sifa hata Matukio makubwa ya Janga la Gonjwa lile, Kuzama kwa MV Bukoba, Tetemeko la Ardhi na Kudumbukia kwa Ndege ya Precision Air mnatamba na kujisifia nayo kuwa yametokea Kwenu tu na kwamba ndiyo Mnapendwa sana na Maulana.
ONYO
Kama unajijua huna Utani wa Kiasili ( wa Makabila ) na Wahaya ( wana Mkoa wa Kagera ) kama nilivyo Mimi GENTAMYCINE nakuonya Usiwatanie kwani Mimi nawamudu kwakuwa ni Mjomba na Shangazi yao.
Watani zangu mpo? Hongereni kwa kutuzalia Kadinali Rugambwa kwani kiukweli haiheshimishi tu Kagera yenu bali ameiheshimisha Tanzania nzima ukiwemo Mkoa uliobarikiwa na wenye Watu wenye Akili Kubwa ( kuwazidi nyie ) wa Mara ( Musoma )