Elias Arusha
Member
- Apr 30, 2013
- 94
- 31
Pitieni pitieni ambao hawaonekani humu maana wengi wanaweza wakawa Majeruhi kufuatia mlipuko wa bomu,hatujuani kwa sura.
Nimekumiss.. Ni taarifa tu.
Mi sijakutana wala kumsikia sweetlady tokea mabomu yalipotandikwa.
Pia sijamsikia Mysoul, Mchaka Mchaka, Jackbauer Lily Flower na Preta.
Plz meeen, kama mpo fit itikeni tujue, na kama mko Selian Hospital kaeni kimya hivyohivyo, tutakuja kuwatembelea saa 8 na Azam Juice, na tutapiga 'donee' tuwahamishie Samunge!
Pitieni pitieni ambao hawaonekani humu maana wengi wanaweza wakawa Majeruhi kufuatia mlipuko wa bomu,hatujuani kwa sura.
Mi sijakutana wala kumsikia sweetlady tokea mabomu yalipotandikwa.
Pia sijamsikia Mysoul, Mchaka Mchaka, Jackbauer Lily Flower na Preta.
Plz meeen, kama mpo fit itikeni tujue, na kama mko Selian Hospital kaeni kimya hivyohivyo, tutakuja kuwatembelea saa 8 na Azam Juice, na tutapiga 'donee' tuwahamishie Samunge!
Ha haaa!PakaJimmy alivyo na wivu, hizo salamu hazifiki!!
Ha haaa!
Wewe Filipo mimi ningekuwa na wivu si ningemrejesha kwangu huyo mpenzi wangu wa zamani marejesho, na usingeonja kitu.
Mi sina ubaya bana, salam za Erickb52 zitafika ingawaje itabidi nimhoji anasalimiwa kwa lipi hasa!
Hakyanani lazima aniambie ni nini kinaendelea hapa katikati, hii haiwezekani aisee!
Mi sina wivu bana!